Masika
JF-Expert Member
- Sep 18, 2009
- 723
- 30
Wiki ilioyopita nliuza used bajaj yangu 2stroke(miguu 3) kwa 1.5ml
sasa nauza na zilizobakia kwa bei chee tsh 1ml na 1.8ml zipo 2 na zinafanya kazi moja ya 2010 nyingine ya zamani kidogo
tafuta fundi akusaidie kukagua ukirizika nijaze mapene,hazina longo longo kadi na bima ziko safi na vimelipiwa ushuru
xmass ina karibia nijazeni mahela hayo mchukue usafiri,ambao unaweza kufanyia biashara pia,nataka kupanda kuleeee kwetu
kama unataka kuziona hapa dar es salaam madereva wangu watakuletea ulipo au ntakuagizia walipo ukakague
mawasiliano 0787883059
karibuni na mazungumzo yapo na yanakaribishwa
sasa nauza na zilizobakia kwa bei chee tsh 1ml na 1.8ml zipo 2 na zinafanya kazi moja ya 2010 nyingine ya zamani kidogo
tafuta fundi akusaidie kukagua ukirizika nijaze mapene,hazina longo longo kadi na bima ziko safi na vimelipiwa ushuru
xmass ina karibia nijazeni mahela hayo mchukue usafiri,ambao unaweza kufanyia biashara pia,nataka kupanda kuleeee kwetu
kama unataka kuziona hapa dar es salaam madereva wangu watakuletea ulipo au ntakuagizia walipo ukakague
mawasiliano 0787883059
karibuni na mazungumzo yapo na yanakaribishwa