F finyango JF-Expert Member Joined Aug 11, 2016 Posts 2,932 Reaction score 2,364 Nov 17, 2017 #21 elmagnifico said: Inategemea maana chuma yake siyo ngumu kihivyo sema ni migu kuliko mbao Click to expand... Kama migumu kuliko mbao na pia ukiweka na fensi ,itakuwa haina shida
elmagnifico said: Inategemea maana chuma yake siyo ngumu kihivyo sema ni migu kuliko mbao Click to expand... Kama migumu kuliko mbao na pia ukiweka na fensi ,itakuwa haina shida
elmagnifico JF-Expert Member Joined Jul 7, 2011 Posts 8,260 Reaction score 9,747 Nov 17, 2017 #22 finyango said: Kama migumu kuliko mbao na pia ukiweka na fensi ,itakuwa haina shida Click to expand... Mimi niliwahi ipost humu nlikuwa nayo nauz sema imekwisha
finyango said: Kama migumu kuliko mbao na pia ukiweka na fensi ,itakuwa haina shida Click to expand... Mimi niliwahi ipost humu nlikuwa nayo nauz sema imekwisha
F finyango JF-Expert Member Joined Aug 11, 2016 Posts 2,932 Reaction score 2,364 Nov 17, 2017 #23 elmagnifico said: Mimi niliwahi ipost humu nlikuwa nayo nauz sema imekwisha Click to expand... OK mkuu, ukiipata naomba uniPM
elmagnifico said: Mimi niliwahi ipost humu nlikuwa nayo nauz sema imekwisha Click to expand... OK mkuu, ukiipata naomba uniPM
elmagnifico JF-Expert Member Joined Jul 7, 2011 Posts 8,260 Reaction score 9,747 Nov 17, 2017 #24 finyango said: OK mkuu, ukiipata naomba uniPM Click to expand... Sawa mkuu
Mzee wa Wima JF-Expert Member Joined Mar 20, 2016 Posts 537 Reaction score 296 Nov 17, 2017 Thread starter #25 Mlandula Jr said: Ulitakiwa uambatanishe na picha hicho unachohitaji wewe umetuwekea maneno tupu! Click to expand... Kama hiyo apo mkuu.. Attachments upvc-door-bathroom-pvc-doors-prices-rfl.jpg 18.6 KB · Views: 185 Doors-Richmond-VA.jpg 77.5 KB · Views: 159
Mlandula Jr said: Ulitakiwa uambatanishe na picha hicho unachohitaji wewe umetuwekea maneno tupu! Click to expand... Kama hiyo apo mkuu..
Mzee wa Wima JF-Expert Member Joined Mar 20, 2016 Posts 537 Reaction score 296 Nov 17, 2017 Thread starter #26 elmagnifico said: Sawa mkuu Click to expand... Ukiwa nayo ni Pm mkuu..
elmagnifico JF-Expert Member Joined Jul 7, 2011 Posts 8,260 Reaction score 9,747 Nov 17, 2017 #27 Mzee wa Wima said: Ukiwa nayo ni Pm mkuu.. Click to expand... Poa soon ntakupm
Asprin Platinum Member Joined Mar 8, 2008 Posts 68,302 Reaction score 96,517 Nov 17, 2017 #28 white wizard said: Inapatikana kariakoo, ila lazima uende na vipimo kulingana na ukubwa wa flemu za milango,ndio uweke order wakutengenezee,bei ni kuanzia 90,000, Click to expand... Nadhani kuna kasifuri kamoja umekasahau hapo. Oh sorry kumbe ni ile milango ya vyumbani, nilidhani ile ya nje...
white wizard said: Inapatikana kariakoo, ila lazima uende na vipimo kulingana na ukubwa wa flemu za milango,ndio uweke order wakutengenezee,bei ni kuanzia 90,000, Click to expand... Nadhani kuna kasifuri kamoja umekasahau hapo. Oh sorry kumbe ni ile milango ya vyumbani, nilidhani ile ya nje...
white wizard JF-Expert Member Joined May 18, 2011 Posts 8,618 Reaction score 13,890 Nov 19, 2017 #29 kyata said: E Elfu 90,000/=, wanatumia mbao gani hao, Nami nahitaji kadhaa Click to expand... Ile sio kwamba ni mbao,nadhani ni mabaki ya malanda yatokanayo na mbao,ni milango laini sana na sumunyake kubwa ni maji ila kama utaiepusha na maji inatumika vyumbani,itakaa sana.
kyata said: E Elfu 90,000/=, wanatumia mbao gani hao, Nami nahitaji kadhaa Click to expand... Ile sio kwamba ni mbao,nadhani ni mabaki ya malanda yatokanayo na mbao,ni milango laini sana na sumunyake kubwa ni maji ila kama utaiepusha na maji inatumika vyumbani,itakaa sana.