Milambo high school alumni


hahah mkuu ukisema hvo unakosea mana kama msuli tulikua tunapiga kama kawaida na umafia tunaufanya tabora boys wanajua msuli ndo kila kitu hata hawajui life la nje linaendaje proud to be mlambo
 
Dah! Milambo shule yangu naipendaaa..!
EGM 2002-2004!

Sikazwe, Zoma, Majubwa, Sotambele etc. Maneno muuza mihogo nje ya geti kuu la kuingilia shuleni.

Chemchemi wali wa Tsh. 100!
Twisheni 'town school' kuanzia saa nane mchana!

Shule ina uhuru kama chuo! Go anywhere anytime as long as you are in uniforms!

Students Center, Library ya Mkoa, Uhazili, Kazima, Uyui etc

Cheyo A&B, Mtaa wa Rufita, Barabara ya Mwanza, Ulyankulu. Mwinyi, Bwawa la Igombe, Kitete etc!

Dah, Milambo imenifanya nipafahamu pote humo!

Viva Milambo!
 
Reactions: Bob

oyaa! room langu hilo umelitaja hapo sokoine mimi ni yule mzee wa maktaba PCB man from DSM, wewe ni nani?
 
walambo 2008-2010 mnakmbka samaki wa makufri ila mama rama alisha fariki
 
zito pcm unakmbka tulienda chemchem kwenye harusi 2kakamatwa na polisi 2kawapa 2000 yamungu akaanza kulia
 
Sisi tulikuwa pale miaka ya 70. Wanasheria na watawala wengi wazoefu hapa nchini walipitia hapo. Combinations za A level zilikuwa mbili tu za HKF na HKL.
 
Sisi tulikuwa pale miaka ya 70. Wanasheria na watawala wengi wazoefu hapa nchini walipitia hapo. Combinations za A level zilikuwa mbili tu za HKF na HKL.

Umenikumbusha,enzi za ngema,nyali kwenda BIKS(Bukoba International Kenge Supply)kule Mitaa ya ngomasakasi,Bachu(le msoin noir-black house)Boys na Warswa walikuwa wakiitwa visamvu.Enzi za momba nk.Kiboko ya Milambo alikuwa Anthony Msemakweli.Huyu ticha alileta wanafunzi wengi sana toka KG,Kwa wingi wao tukawapa jina'WAKOREA'Ila ni shule nzuri sana,wakati huo mabweni yalikuwa Rugambwa,Kennedy na Nyerere.Enzi hizo za gari la shule lilikuja kwa msaada wa Norway(Norad)Kwa sasa ni bovu limepack hapo mbele ya shule,We acha tu(1979-1982)
 
Mi naona mnapiga domo tu, hata picha moja hamna na sisi tuione shule yenu nzuri?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…