Mikutano ya kisiasa stop Zanzibar

Mikutano ya kisiasa stop Zanzibar

Hapa ndipo shughuli itakapoanza,maana CCM ruksa,wapinzani tunaogopa AMANI itavunjwa.Ni nafuu wakapewa nafasi ya kutolea hasira zao kuliko kuwanyima,Polisi wanaijua Zanzibar sidhani kama wataweka zuio la muda mrefu,
 
Haki ya Mungu CCM ikifa nachinja Ng'ombe wote sita niliopewa na babayangu siku ya harusi yangu, nafanya sherehe kubwa. Ewe mwenyezi Mungu sikia kilio na sauti yangu CCM ife kesho Amen.
 
Ondoa neno Jeshi la polisi weka Balozi Seif Ali Iddi
 
Hebu fikiria ktk secta moja tu ya BENK KUU tunawakuta watoto wa vigogo1.FILBET SUMAYE 2.BEATRICE BOMANI3.PAMELA LOWASA4.ZACHARIA KAWAWA5.SALAMA MWINYI6.RACHEL MSEKWA7.SALAMA MAHITA 8.JANE SITA9.JASMIN KARUME 10.JUSTINA NCHIMBI11.BLASIA W.MKAPA12.RADHIA SHEIN13.JEROME DIALO 14.LIKELE NGASONGWA 15.ANDY MAGUFULI-16.THOMAS MONGELA17.JABIR KIGODA 18.MARY MRAMBA
Huo ni mfano unaotoka katika imani flani. Siyo udini. Ngoja nikwambie udini ni nini......

Udini ni kitendo cha mtu mwenye hadhi kama ya Lukuvi kukimbilia kanisani na kuhubiri siasa za vitisho, akitegemea Wakristo wamuunge mkono. Hii ikiwa ni sawa na kusema anawarubuni Wakristo wawatenge Waislamu ndani ya nchi moja. Maana yake ni sawa na kusema Waislamu wabaku na serikali tatu, Wakristo wakumbatie serikali mbili, ili waanze kuvutana na waislamu. Ili baadaye kukitokea machafuko ya kuhusu rasimu, iwe ni Wakristo vs Waislamu!.

Udini nikiongozi wa kisiasa kama Lukuvi kudai kukiwa na serikali tatu, Zanzibar itatawaliwa kiisalamu. Nafikiri kobe ameanza kutoa kichwa, kwani mimi naona hii ni chuki ya wazi ya Lukuvi kwa Waislamu! Kwa hiyo chuki dhidi ya Waislamu + kupeleka siasa chafu kanisani= ??

Udini ni pale chama tawala ambacho kinabeba dhamana ya usalama wa nchi kuwa ya kwanza kuanzisha siasa za kidini, kama ilivyokuwa kwa CUF Zanzibar, wakati upinzani ulipokuwa na nguvu. Baada ya kupatana mara wamekuwa safi sasa. Sasa tatizo ni CHADEMA...ni ya kikatoliki! Halafu kama vile akili zimewaganda bado mnatafuta mchawi ni nani?

Bado huelewi udini ni nini?


Mkuu mijitu mingine haifa kujadiliana nayo sisi tuwape nafasi tuwaelimishe ila ikifika adi 2015 wasipo elewa me nina anza na shule za kata ninajua jinsi gani ya kuwashawishi wana nchi wa pande fulani tuanzishe miradi na tuanze kuziuza ninajuwa lina wezekana coz ninaona kama tunaelekea kupiga kelele na punda kunywa maji


Mambo mengine ni maajabu kila nikiangalia haya majina ninajiuliza maswali mengi sana

Sasa ole wao
 
Hebu fikiria ktk secta moja tu ya BENK KUU tunawakuta watoto wa vigogo1.FILBET SUMAYE 2.BEATRICE BOMANI3.PAMELA LOWASA4.ZACHARIA KAWAWA5.SALAMA MWINYI6.RACHEL MSEKWA7.SALAMA MAHITA 8.JANE SITA9.JASMIN KARUME 10.JUSTINA NCHIMBI11.BLASIA W.MKAPA12.RADHIA SHEIN13.JEROME DIALO 14.LIKELE NGASONGWA 15.ANDY MAGUFULI-16.THOMAS MONGELA17.JABIR KIGODA 18.MARY MRAMBA


Mkuu mijitu mingine haifa kujadiliana nayo sisi tuwape nafasi tuwaelimishe ila ikifika adi 2015 wasipo elewa me nina anza na shule za kata ninajua jinsi gani ya kuwashawishi wana nchi wa pande fulani tuanzishe miradi na tuanze kuziuza ninajuwa lina wezekana coz ninaona kama tunaelekea kupiga kelele na punda kunywa maji


Mambo mengine ni maajabu kila nikiangalia haya majina ninajiuliza maswali mengi sana

Sasa ole wao

Mimi nadhani ni yale ya sikio la kufa. Hata Zamani Farao (Firauni) aliwahi kushindana na Musa ( hakutaka kuwa-release Waisraeli kutoka Misri) bila kujua Musa katumwa na Mungu. Aliendelea na ligi pamoja na Musa kumpa maonyo kutoka kwa Mungu mara kumi! Ilifikia wakati Mungu aliamua kumalizia somo kwa kushusha kipigo kwa ma-first born wote, kuanzia wa binadamu mpaka wanyama. Hapo ikabidi akubali tuu.

Sioni kama watakujaelewa hawa! .Labda na hili nalo ni la Farao!
 
Back
Top Bottom