Mikutano ya kisiasa stop Zanzibar

Mikutano ya kisiasa stop Zanzibar

Joined
Feb 7, 2014
Posts
82
Reaction score
8
Hatimaye Jeshi la polisi Zanzibar limezuia mikutano yote ya kisiasa kwa hofu ya kiusalama,UKAWA na UVCCM wavurugiwa mipango yao!
 
Mbona hili lilifahamika mapema tu, kama Wakiristu tunavyofahamu kwamba Bwana yetu Yesu Kiristu alikufa Jana (ijumaa kuu) na atafufuka kesho Jumapili (siku ya Pasaka). CCM wanakimbia kivuli chao, na wote tunafahamu hatima yake, it is only a matter of time.
 
Mbona hili lilifahamika mapema tu, kama Wakiristu tunavyofahamu kwamba Bwana yetu Yesu Kiristu alikufa Jana (ijumaa kuu) na atafufuka kesho Jumapili (siku ya Pasaka). CCM wanakimbia kivuli chao, na wote tunafahamu hatima yake, it is only a matter of time.

Sahihi kabisaaa
 
hongera sana Jeshi la polisi Zanzibar. Hawa maliberali wanataka kutuvurugia nchi yetu
 
Mbona hili lilifahamika mapema tu, kama Wakiristu tunavyofahamu kwamba Bwana yetu Yesu Kiristu alikufa Jana (ijumaa kuu) na atafufuka kesho Jumapili (siku ya Pasaka). CCM wanakimbia kivuli chao, na wote tunafahamu hatima yake, it is only a matter of time.

Endeleeni kujidanganya. Kuchanganya siasa na dini ni udini
 
Mbona hili lilifahamika mapema tu, kama Wakiristu tunavyofahamu kwamba Bwana yetu Yesu Kiristu alikufa Jana (ijumaa kuu) na atafufuka kesho Jumapili (siku ya Pasaka). CCM wanakimbia kivuli chao, na wote tunafahamu hatima yake, it is only a matter of time.

Hivi wewe unawajua uamsho wewe? Usikimbilie kuilamu polisi na ccm tu bila kuona uzito wa tatizo. Hao uamsho ni noma! We nenda na ulokole wako huko upeleke vi maneno vyako vya ajabu ajabu utawajua vizuri. Msipende kuilaumu serikali kwa kila kitu eti tu kwa kuwa nyie ni chadema, fikiri kwanza.
 
Hivi wewe unawajua uamsho wewe? Usikimbilie kuilamu polisi na ccm tu bila kuona uzito wa tatizo. Hao uamsho ni noma! We nenda na ulokole wako huko upeleke vi maneno vyako vya ajabu ajabu utawajua vizuri. Msipende kuilaumu serikali kwa kila kitu eti tu kwa kuwa nyie ni chadema, fikiri kwanza.
kwahiyo hao sungusungu wamefyata kwa uamsho sio?
serikali ya kijinga hii...
 
ina maana hata mkusayikao wa sherehe za mapinduzi hazitakuwepo? kama zitakuwepo inashindikaje ulizi kama huo usitumike kwenye mikutano hiyo mingine?
 
Hatimaye Jeshi la polisi Zanzibar limezuia mikutano yote ya kisiasa kwa hofu ya kiusalama,UKAWA na UVCCM wavurugiwa mipango yao!

...Good Move maana maskani ya wapemba pale michenzani walikuwa wanapiga siasa Am to Pm...kazi yao ni kumwaga sumu kuhusu muungano! Sijui nani anawalipa na kuwalisha wale jamaa...
 
serukali mnaogopa nini luhusu mkutano wanzanzibari wamjue lukuvi
 
Endeleeni kujidanganya. Kuchanganya siasa na dini ni udini


Huo ni mfano unaotoka katika imani flani. Siyo udini. Ngoja nikwambie udini ni nini......

Udini ni kitendo cha mtu mwenye hadhi kama ya Lukuvi kukimbilia kanisani na kuhubiri siasa za vitisho, akitegemea Wakristo wamuunge mkono. Hii ikiwa ni sawa na kusema anawarubuni Wakristo wawatenge Waislamu ndani ya nchi moja. Maana yake ni sawa na kusema Waislamu wabaku na serikali tatu, Wakristo wakumbatie serikali mbili, ili waanze kuvutana na waislamu. Ili baadaye kukitokea machafuko ya kuhusu rasimu, iwe ni Wakristo vs Waislamu!.

Udini nikiongozi wa kisiasa kama Lukuvi kudai kukiwa na serikali tatu, Zanzibar itatawaliwa kiisalamu. Nafikiri kobe ameanza kutoa kichwa, kwani mimi naona hii ni chuki ya wazi ya Lukuvi kwa Waislamu! Kwa hiyo chuki dhidi ya Waislamu + kupeleka siasa chafu kanisani= ??

Udini ni pale chama tawala ambacho kinabeba dhamana ya usalama wa nchi kuwa ya kwanza kuanzisha siasa za kidini, kama ilivyokuwa kwa CUF Zanzibar, wakati upinzani ulipokuwa na nguvu. Baada ya kupatana mara wamekuwa safi sasa. Sasa tatizo ni CHADEMA...ni ya kikatoliki! Halafu kama vile akili zimewaganda bado mnatafuta mchawi ni nani?

Bado huelewi udini ni nini?
 
Back
Top Bottom