Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 18,200
- 27,250
Katika hali ambayo ilitegemewa na wengi kutokea ya CHADEMA kukosa watu kwenye mikutano yao, imepelekea chadema kutoendelea na mikutano hiyo.
Wote tunakumbuka chadema walikuja na kila aina ya shamra shamra ya kufanya mikutano bila kujua kuwa watu hawapo tayari kuwasikiliza. Werevu tulisubiri muda uamue.
Watu sasa hivi wapo busy sana kusaka pesa na kuinua uchumi wa nchi. Serikali imeweka mazingira rafiki ya kukuza uchumi wa kila mmoja, hivyo muitikio ni mkubwa mno.
Nini kifanyike?
Chadema inapaswa kuamua kusuka au kunyoa, namaanisha waache kabisa mikutano au waendelee hivyohivyo kuhutubia uwanja mtupu.
Chini nj picha ambayo mkutano huo wa hadhara ulikosa watu na hivyo kuhairishwa.
Nitaleta picha na video kila sehemu ambayo watakua na mkutano ili kuwapa ukweli wa mambo yalivyo kwa ground.
Wote tunakumbuka chadema walikuja na kila aina ya shamra shamra ya kufanya mikutano bila kujua kuwa watu hawapo tayari kuwasikiliza. Werevu tulisubiri muda uamue.
Watu sasa hivi wapo busy sana kusaka pesa na kuinua uchumi wa nchi. Serikali imeweka mazingira rafiki ya kukuza uchumi wa kila mmoja, hivyo muitikio ni mkubwa mno.
Nini kifanyike?
Chadema inapaswa kuamua kusuka au kunyoa, namaanisha waache kabisa mikutano au waendelee hivyohivyo kuhutubia uwanja mtupu.
Chini nj picha ambayo mkutano huo wa hadhara ulikosa watu na hivyo kuhairishwa.
Nitaleta picha na video kila sehemu ambayo watakua na mkutano ili kuwapa ukweli wa mambo yalivyo kwa ground.