Mikopo ya HESLB na matokeo yake baadaye

Mikopo ya HESLB na matokeo yake baadaye

Bakebula

Member
Joined
Jun 1, 2013
Posts
46
Reaction score
19
Hivi karibuni serikali ilitangaza yakuwa kupta mkopo kiurahisi eti usome education.

Jamani inabidi tukubali yakuwa kazi yeyote ni wito lakini limepuuzwa na serikali.

Tunakoelekea kubaya coz wanafunzi wengi wasoma education only for loan na sio wito.
 
Serikali ipo sahihi, kuamua hivyo ni ishu yake kwamba hilo ndo eneo lake la uhitaji, haiwezi ikasema isomeshe Fani ambazo haizihitaji, sasa shida inakuja pale ambapo wewe unashindwa kujua malengo yako ni nini na namna gani nyingine unaweza kuifikia ukaamua kusoma edctn ili upate mkopo.
 
Mmmm. Helo bakebula. I wish to know u am also from Bakebula's
 
Back
Top Bottom