MIKOPO YA BENKI

elia stephen

JF-Expert Member
Jan 3, 2014
263
81
Wakuu habarini za saa hiz?nnaomba kuuliza mwenye uelewa kuhusiana na calculation za mikopo ya benk maana jana nmeahindwa kuelewa mpaka nikasitisha mkopo kwanza.nikwamba wanasema calculation tunazotumia sisi wateja ni tofauti na calculation za kimikopo.yaani nlitaka wanikate 93900×12×5=5634000.Kwa kuwa nilikuwa naover lap ilibidi watoe 2020000. Ambapo ingebaki 3614000.ukitoa asilimia 22 ya hii pesa inabaki 2818920.sasa mimi wananipa take home 1090000.wakuu msaada pls nielewe.
 
Wakuu habarini za saa hiz?nnaomba kuuliza mwenye uelewa kuhusiana na calculation za mikopo ya benk maana jana nmeahindwa kuelewa mpaka nikasitisha mkopo kwanza.nikwamba wanasema calculation tunazotumia sisi wateja ni tofauti na calculation za kimikopo.yaani nlitaka wanikate 93900×12×5=5634000.Kwa kuwa nilikuwa naover lap ilibidi watoe 2020000. Ambapo ingebaki 3614000.ukitoa asilimia 22 ya hii pesa inabaki 2818920.sasa mimi wananipa take home 1090000.wakuu msaada pls nielewe.
Ngoja waje wenye uzoefu ns mikopo
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom