kbm
JF-Expert Member
- Oct 5, 2012
- 5,222
- 1,670
Mnada mkubwa wa kuuza viwanja, magari na nyumba zilizowekwa rehani na watu waliochukua mikopo kwenye benki umetangazwa jijini Dar es Salaam, baada ya wahusika kushindwa kurejesha.
Benki ya EFC ya jijini Dar es Salaam, imetangaza mnada huo ambao utahusisha uuzaji wa magari 43 kuanzia sasa, ambazo wamiliki wake wameshindwa kurudisha mikopo bila kutoa sababu. "Tuna kazi ya kukusanya madeni na kuuza nyumba (mali zilizowekwa rehani) na watu walichukua mikopo kwenye Benki zaidi ya 10, wateja walioshindwa kurejesha mikopo yao" alisema.
Chanzo: NIPASHE
Benki ya EFC ya jijini Dar es Salaam, imetangaza mnada huo ambao utahusisha uuzaji wa magari 43 kuanzia sasa, ambazo wamiliki wake wameshindwa kurudisha mikopo bila kutoa sababu. "Tuna kazi ya kukusanya madeni na kuuza nyumba (mali zilizowekwa rehani) na watu walichukua mikopo kwenye Benki zaidi ya 10, wateja walioshindwa kurejesha mikopo yao" alisema.
Chanzo: NIPASHE