Daniel Schoter
Senior Member
- Jan 12, 2017
- 114
- 64
Mkuu hili swala lili trend sana ivi Wizara ya elimu bajeti yake imekwisha pita?Hmmm!nadhani ilikuwa siasa tu!!
sijafuatilia,ngoja ni-checkMkuu hili swala lili trend sana ivi Wizara ya elimu bajeti yake imekwisha pita?
Sasa boss ambao ni continue students tutanufaika mfano ambao Academic year inaanza Mwezi wa naneMwezi januari Ndalichako aliahidi hilo,kozi ambazo ni za kipaumbele tu ndizo zitahusika yaani Uhandisi,Uchoraji ramani za majengo,Udaktari,Ualimu nk.
Ndalchako alilisema hiloMkipewa mkopo naomba mod wanipige ban ya moja kwa moja
Hapo sina uhakika na hilo!Sasa boss ambao ni continue students tutanufaika mfano ambao Academic year inaanza Mwezi wa nane
Mkuu fanyeni hiyo application mkipewa mkopo tutarudi hapaNdalchako alilisema hilo
Niko engineering nduguKama hukusoma sayansi jitoe kabisa kama mkopo watatoa... According to alietoa tamko..(sio mimi)
Course GaniKwenye kufanya application, kipengele cha loan wameandika not "priority"
Kwa upande wa afya..Course Gani