Kuna continuous students yoyote ambaye amekwisha pata mkopo mwaka WA 2015/2016??au kama Kuna mtu WA bodi au ameshawasiliana na bodi ya mikopo juu ya hili swala naomba atujuze...
Kuna continuous students yoyote ambaye amekwisha pata mkopo mwaka WA 2015/2016??au kama Kuna mtu WA bodi au ameshawasiliana na bodi ya mikopo juu ya hili swala naomba atujuze...
Nasikia 19 tuuu... Ila nimesikia hawakupeleka baadhi ya majina heslb.. daaah hawa maloan oficer hawako fair hata kidogo.. wanahitaji sisi tuishi vipi!!
Kuna continuous students yoyote ambaye amekwisha pata mkopo mwaka WA 2015/2016??au kama Kuna mtu WA bodi au ameshawasiliana na bodi ya mikopo juu ya hili swala naomba atujuze...
Nasikia 19 tuuu... Ila nimesikia hawakupeleka baadhi ya majina heslb.. daaah hawa maloan oficer hawako fair hata kidogo.. wanahitaji sisi tuishi vipi!!
Kuna continuous students yoyote ambaye amekwisha pata mkopo mwaka WA 2015/2016??au kama Kuna mtu WA bodi au ameshawasiliana na bodi ya mikopo juu ya hili swala naomba atujuze...
Jumatatu twendeni bodi tujue kama taarifa zetu za chuo kama zimefika bodi maana hawa maloan officer huwa hawapeleki majina kule.... yaan wanazingua sanaaaa cjui wanataka tusome vp.. haswa loan officer wa UDSM..
Jumatatu twendeni bodi tujue kama taarifa zetu za chuo kama zimefika bodi maana hawa maloan officer huwa hawapeleki majina kule.... yaan wanazingua sanaaaa cjui wanataka tusome vp.. haswa loan officer wa UDSM..