Mikopo chuo kikuu

Mikopo chuo kikuu

Joined
Nov 22, 2017
Posts
37
Reaction score
16
Jamani wana jf kwa napenda kuuliza hivi kwenda kujaza form za mkopo ni mpaka uende internet cafe au kuna njia nyingine
 
Tafuta Internet Cafe, zipo internet Cafe zina uzoefu wa kusaidia wanafunzi kwa umakini Katika kujaza hizo form, utawalipa kidogo na shughuli yako itakuwa nzuri maana kuna makosa mnafanya kujaza hizo form mwisho wa siku muda mliopewa unaisha bila kujaza form
 
Okay nashukuruuu na vipi kuhusu HIV vyet ya kuzaliwa chet changu kina upungufu wa heruf 1 kweny jna
Hiv inaweza ikanleteaa shidaa eee
 
Majina panatakiwa yalandane kwenye vyet vyote cha kuzaliwa, fom four, fom six, n. K
 
Back
Top Bottom