Mikono yote miwili..

Joined
Nov 23, 2011
Posts
12
Reaction score
3
Jamaa alikatika mkono 1,Baada ya kuona MAISHA yanazidi kuwa magumu, akapanda ghorofani ili ajitupe chini. Kabla hajajitupa akamwona mtu hana mikono yote akiruka kwa furaha akamwuliza, "Mbona unaruka kwa furaha wkt huna mikono yote?" Jamaa akamjibu, "Furaha wapi? Hapa ****** unawasha nashindwa kujikuna!"
 
jaman this is so sad, we have to appriciate what we have
 

Hii sio ngeni humu jukwaani. Ipo kitambo. Imechacha.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…