Wataalamu wa kuijua nchi yetu ya Tanzania ni mkoa mpya upi kati ya ifuatayo ambao uko vizuri kimaendeleo au kiuchumi?
1. Simiyu
2. Geita
3. Songwe
4. Manyara
5. Katavi
6. Njombe
Wataalamu wa kuijua nchi yetu ya Tanzania ni mkoa mpya upi kati ya ifuatayo ambao uko vizuri kimaendeleo au kiuchumi?
1. Simiyu
2. Geita
3. Songwe
4. Manyara
5. Katavi
6. Njombe
Geita imepewa kuwa mkoa mwaka 2012-2025 miaka 13,bariadi tangu 2018-miaka 7 ni mkoa, jombe vile vile miaka 5+ Sasa sijui umetumia kigezo gani kuita ni mikoa mipya?
Geita imepewa kuwa mkoa mwaka 2012-2025 miaka 13,bariadi tangu 2018-miaka 7 ni mkoa, jombe vile vile miaka 5+ Sasa sijui umetumia kigezo gani kuita ni mikoa mipya?
Wataalamu wa kuijua nchi yetu ya Tanzania ni mkoa mpya upi kati ya ifuatayo ambao uko vizuri kimaendeleo au kiuchumi?
1. Simiyu
2. Geita
3. Songwe
4. Manyara
5. Katavi
6. Njombe