Ni kakola siyo katola.
Kwa ujumla kwa mikoa mipya Geita inaongoza kwa kuwa na uchumi mzuri tena kushinda hata baadhi ya mikoa ya zamani kama Kagera na Singida.
Wataalamu wa kuijua nchi yetu ya Tanzania ni mkoa mpya upi kati ya ifuatayo ambao uko vizuri kimaendeleo au kiuchumi?
1. Simiyu
2. Geita
3. Songwe
4. Manyara
5. Katavi
6. Njombe
Ilipitishwa Kutoka katika Halmashauri zilizopaswa Kupandishwa Hadhi kuwa Wilaya Ikiwemo Halmashauri ya Ushetu na Msalala zilizokuwa Wilaya ya Kahama Iliyoko Mkoa wa Shinyanga..