salum nassor
New Member
- Oct 20, 2017
- 2
- 1
ilala giza umerudi mara pap umekata tena
Asee ndo nimeingia mabibo loyola hapa ni giza totoro.....mi pia nko mabibo jeshini..ni giza totoro
ina maana umekatika mkoa mzima?
Ushamba ni kuQuate thread ndefuuTunashukuru kwa taarifa
In fact huku umekatika kwa zaidi ya masaa 24 mpaka sasa hivi! Tangu jana saa mbili usiku mpaka sasa hivi saa mbili usiku hamna umeme!Hizo mbwembwe tu
Kigamboni huko umeme unakatikakatika kama una kiuno vile........
Kila.leo low voltage...
Niliambiwa huko toka jana hakuna umemeIn fact huku umekatika kwa zaidi ya masaa 24 mpaka sasa hivi! Tangu jana saa mbili usiku mpaka sasa hivi saa mbili usiku hamna umeme!
Maji yanategemea kupandishwa na umeme, no umeme no maji, katika mashirika ambayo ningekuwa na uwezo wa kuyafuta tanesco wangekuwa wa kwanza.
Npo NIT apa, nakula bajaj dakika sifurmkuu mi npo huku jeshini..nije?
mbona siku hizi umeme unakatika katika na hasa mbeya nauliza ni hujuma?TANESCO
Tunaomba radhi wateja wetu
Imetokea hitilafu gridi ya taifa na kusababisha umeme eneo lote la Dar es Salaam na baadhi ya mikoa kukosa umeme.
Tatizo hili linashughulikiwa na umeme utarudi baada ya muda mfupi
=======
SHIRIKA LA UMEME TANZANIA (TANESCO)
TAARIFA YA KUTOKEA KWA HITILAFU KATIKA GRIDI YA TAIFA
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) linawataarifu Wateja wake waliounganishwa katika Mikoa iliyo katika Gridi ya Taifa kuwa majira ya Saa 12:30 imetokea hitilafu kwenye Gridi ya Taifa na kusababisha Mikoa hiyo kukosa umeme.
Jitihada zimefanyika ili kurejesha umeme na baadhi ya Mikoa imeshaanza kupata huduma ya umeme
Tutaendelea kuwapa taarifa zaidi.
TANESCO inaomba radhi kwa usumbufu unaojitokeza.
Tafadhali usishike wala kukanyaga waya uliokatika au kuanguka.
Toa taarifa kupitia namba za simu zifuatazo
Kituo cha miito ya simu Makao Makuu 0222194400 na 0768 985100
Tovuti: www.tanesco.co.tz
Mitandao ya Kijamii
www.facebook/twitter.com/tanescoyetu
Imetolewa na:-
Ofisi ya Uhusiano
TANESCO Makao Makuu
25/10/2017