Mikeka yaokoa maisha ya wanafunzi wa chuo

Mikeka yaokoa maisha ya wanafunzi wa chuo

searcher

Member
Joined
Jun 30, 2014
Posts
36
Reaction score
5
Kwa vijana wengi wanao BET watakubaliana na mimi. Vijana wengi wamekimbiia kwenye BETTING, ambapo hujipatia pesa za kukidhi mahitaji yao. Hii hari imeenda mbali zaidi mpaka kuitwa "ofisi" yaani vijana wanachukulia BETTING kama ajira yao kwa kipindi hiki kigumu. Nini fikra yako juu ya mwelekeo wa vijana ndani ya Tanzania yenye uhaba wa ajira na mafuriko haya ya makapuni ya BETTING?
 
Hao wanafunzi wa chuo ndio wamevumbua ajira kabla? Manake hapa kuna issue mbili tofauti, wanafunzi ambao wanaona hela ya kujikimu ni ndogo na pengine betting inawatoa kimtindo, na vijana wahitimu wasio na ajira.
 
Hata taifa letu linacheza kamari. Kwani bila cheusi chekundu bajeti inasongaje wakati mkopo wa wafadhili haujakuja hadi leo. Na hatuna plan ya kujitegemea bajeti ya july, kamari inahusika yukikosa tunatoboa tu
Tunajenga taifa la wacheza kamali...........
 
Kwa vijana wengi wanao BET watakubaliana na mimi. Vijana wengi wamekimbiia kwenye BETTING, ambapo hujipatia pesa za kukidhi mahitaji yao. Hii hari imeenda mbali zaidi mpaka kuitwa "ofisi" yaani vijana wanachukulia BETTING kama ajira yao kwa kipindi hiki kigumu. Nini fikra yako juu ya mwelekeo wa vijana ndani ya Tanzania yenye uhaba wa ajira na mafuriko haya ya makapuni ya BETTING?

Hawa nao mikeka ina waokoa
 

Attachments

  • 20150322_095301.jpg
    20150322_095301.jpg
    982.6 KB · Views: 627
dah, kiswahili kimekua.
nilivyoona mikeka nikadhani wanafunzi wanalala kwenye mikeka.
 
Hata taifa letu linacheza kamari. Kwani bila cheusi chekundu bajeti inasongaje wakati mkopo wa wafadhili haujakuja hadi leo. Na hatuna plan ya kujitegemea bajeti ya july, kamari inahusika yukikosa tunatoboa tu

Haupo mbali na ukweli....
 
Kwa vijana wengi wanao BET watakubaliana na mimi. Vijana wengi wamekimbiia kwenye BETTING, ambapo hujipatia pesa za kukidhi mahitaji yao. Hii hari imeenda mbali zaidi mpaka kuitwa "ofisi" yaani vijana wanachukulia BETTING kama ajira yao kwa kipindi hiki kigumu. Nini fikra yako juu ya mwelekeo wa vijana ndani ya Tanzania yenye uhaba wa ajira na mafuriko haya ya makapuni ya BETTING?

Akishinda mmoja,Mia wanaliwa ndio maana Betting Shops zina survive vinginevyo zingekufa!
 
haaaa haaaa...wao huita mikeka nikaona nilichukue kama lilivyo
 
dah, kiswahili kimekua.
nilivyoona mikeka nikadhani wanafunzi wanalala kwenye mikeka.

Nilipokuwa naangalia mpira Mara kwa Mara nilikuwa nasikia 'mkeke umechanika' nikawa sielewi maana yake nikauliza vijana wakanielewesha kumbe hapo MTU kashapoteza bet! Unakuta shabiki wa man utd anasikitika arsenal kufungwa!!! Nilikuwa siwaelewi kabisa!
 
Huwezi kujenga future yako ukitegemea kubet.

Huwa nashangaa sana nikiwaskia wanao bet wkisema “ leo mhindi ataona lazima ninyonyoe“

Kwa taarifa tu:
Sidhan kama jamaa huwa mnakula hela yake, ni hela zenu ( 500, 1000 n.k) mnazozichanga .
Mhindi huwa hatokwi jasho yaani ile asubuhi tu anauhakika hela inaingia kwenye akaunt.

Huwezi jenga future ukitegemea betting .
Zaidi utaishia kuwa addicted.
 
CHEZEA MKEKA WEWE.....MSINGI WA SH. 500 UZALISHE MILIONI 18. .... UNALALA MASIKINI NA KUAMKA TAJIRI...tehteh...
 
Sinywi pombe, sivuti sigara, sio malaya sina michepuko.... Betting ndio starehe yangu, ni bora nipoteze ktk betting kuliko nipate madhara ktk kunywa pombe, kuvuta sigara kufanya uhuni...... Bila betting nisingeweza kumudu maisha ya chuo
 
Hakuna ambaye ametoka kimaisha through betting wanapata hela ya kula na starehe tu. Ila sipati picha mwisho wake ukoje maana sasa kila mtu anataka kubet. nilishangaa kuna dada mmoja naye anataka kubet hata mpira haujui na haijui team hata moja alafu Anaomba mshikaji ambetie. Nilishangaa sana ni hatari tamaa zingine bwana
 
Hakuna ambaye ametoka kimaisha through betting wanapata hela ya kula na starehe tu. Ila sipati picha mwisho wake ukoje maana sasa kila mtu anataka kubet. nilishangaa kuna dada mmoja naye anataka kubet hata mpira haujui na haijui team hata moja alafu Anaomba mshikaji ambetie. Nilishangaa sana ni hatari tamaa zingine bwana

Wewe unafikiri kuwa punter mpaka uwe mpenzi wa mchezo husika? Mimi huwa nabet mpaka mbio za farasi na mambo yanajipa, internet ni resource za kutosha kujipa ABC na updates za mchezo fulani, pia kukutana na wakongwe wanakupa mwanga. Betting ina miiko yake, ukiingia unategemea kuwin big utaloose big, lakini ukiwa na strategy nzuri, patience na knowledge ya money management si haba unapata chambichambi. Tembea ndani ya mtaji wako (pesa uliyo tayari kupoteza kwa siku), kama mnywaji anaweza kumaliza laki mbili bar kwa wiki na watu hawashangai, ndiyo hivyo better makini naye ana bajeti yake, anajua ana mtaji wa laki moja akicheza kwa umakini bila greed anaweza kupata faida nzuri tu, hata akipoteza hataweka msiba kwa sababu anajua risk, lakini mtu makini ni mara chache kukata mtaji.
 
Mbona wengi wana "loose daily" so inaokoa kivipi????
 
Back
Top Bottom