Yawe Member Joined Apr 5, 2013 Posts 47 Reaction score 2 Jun 2, 2013 #1 Wana JF Hivi mikataba ambayo serikali yetu Tanzania inasaini hivi wanaisoma kabla hawajaingia au wanasaini bila kusoma.
Wana JF Hivi mikataba ambayo serikali yetu Tanzania inasaini hivi wanaisoma kabla hawajaingia au wanasaini bila kusoma.
C Chikaka Sumuni JF-Expert Member Joined May 16, 2013 Posts 1,337 Reaction score 773 Jun 2, 2013 #2 Nani asome Mikataba hiyo? Kama wangesoma tungeibiwa kirahisi hivyo?