Mikasa/vituko vya lodge

Dem kiziwi noma sana dah!
 
Ukifuatlia baadhi ya mikasa unaona bora uandike jina la uongo mingine inakushawishi uandike jina la halisi basi tafrani, imagine umeandika jina halisi halafu demu kazima?
Kwahiyo akizima unamkimbia??
 
Yesu wangu nimecheka hapo kwenye kiziwi🤣🤣🤣🤣🤣,wanaume mna kazi🤣🤣🤣🤣🤣
 
Mwaka 2012 niliwahi enda gest maeneo ya kwa msugur na jimaa flan mmewe dereva wa masafa marefu jimaa la maana wkati nakula mzigo tukajikuta tupo chini tumeshuka na chaga sitasahau pale kwa msugur karbu na bochi lile zigo ikawa nalilia kwenye majumba mabov
 
Ulienda na zigo la kuvunja chaga.

#MaendeleoHayanaChama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…