Miji inayo Ongoza kwa usafi

Miji inayo Ongoza kwa usafi

Tabutupu

JF-Expert Member
Joined
Nov 26, 2010
Posts
13,262
Reaction score
18,702
1. Moshi
2. Njombe
3. Iringa
4. Arusha
5. Dodoma

Hii imetokana na maoni ya wadau waliotembelea miji hiyo..
 
Usafi katika lipi wabongo acheni kujisifu kwa uchafu uliopo
 
Inasemekana kuwa jiji la Dar is one of the dirtiest cities in the World!
 
1. Moshi
2. Njombe
3. Iringa
4. Arusha
5. Dodoma

Hii imetokana na maoni ya wadau waliotembelea miji hiyo..

Na hakuna mji mwingine walioutembelea, na hawajui Tanzania ina miji mingapi na ni ipi.
 
1. Moshi
2. Njombe
3. Iringa
4. Arusha
5. Dodoma

Hii imetokana na maoni ya wadau waliotembelea miji hiyo..

mkuu umechapia..MWANZA haipo ktk list?na ndio jiji linaloongoza nafasi ya kwanza kwa usafi
 
mkuu umechapia..MWANZA haipo ktk list?na ndio jiji linaloongoza nafasi ya kwanza kwa usafi
Mwanza huwa inashika nafasi ya kwanza wakishindanisha majiji tu yaani Dar, Mbeya, Arusha, na Tanga.Ila wakiweka na miji Moshi is always number one then Iringa munispal,
 
1. Moshi
2. Njombe
3. Iringa
4. Arusha
5. Dodoma

Hii imetokana na maoni ya wadau waliotembelea miji hiyo..


Arusha ni jiji chafu ambalo linaweza kuwa la pili kwa uchafu Tanzania likifuatia kwa Mbeya ambayo imeshikilia record hiyo miaka mingi. Sijui Mwanza.
 
Mkuu, naomba tofauti ya Majiji na Miji na Mji ni Ipi,
Pia Wingi/Plural na Umoja/Singular: Majiji - Jiji na Miji ni ???, na Mji - ???
Angalizo: Najua Jiji ni City. Pia kuna Mji Mikubwa, Miji ya Wastani na Miji Midogo.
Mji Mikubwa - Wakazi 100,000 na zaidi.
Miji ya Wastani - Wakazi kati ya 20,000 - 100,000.
Miji Midogo - Wakazi kati ya 5,000 - 20,000.


Mwanza huwa inashika nafasi ya kwanza wakishindanisha majiji tu yaani Dar, Mbeya, Arusha, na Tanga.Ila wakiweka na miji Moshi is always number one then Iringa munispal,
 
Mwanza huwa inashika nafasi ya kwanza wakishindanisha majiji tu yaani Dar, Mbeya, Arusha, na Tanga.Ila wakiweka na miji Moshi is always number one then Iringa munispal,
Mkuu mwanza imetajwa ma.waziri ummy miongoni mwa mikoa iliyo kumbwa na kipindupindu..
 
1. Moshi
2. Njombe
3. Iringa
4. Arusha
5. Dodoma

Hii imetokana na maoni ya wadau waliotembelea miji hiyo..


Kwa mijibu wa wizara ya afya,mikoa pekee ambayo hajaripotiwa mgonjwa hata mmoja wa Kipindupindu mpaka sasa ni Kilimanjaro na Iringa.

Hii maana yake list yako ina ukweli kadhaa.
 
Back
Top Bottom