Mihemko na hasira za mkizi katika siasa za Tanzania, vimekua utambulisho muhimu sana kwa wanasiasa mamaluki wa vibaraka wa magharibi

Mihemko na hasira za mkizi katika siasa za Tanzania, vimekua utambulisho muhimu sana kwa wanasiasa mamaluki wa vibaraka wa magharibi

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
36,155
Reaction score
30,825
Unadhani ni kwanini viongozi hao wa vyama vya siasa na wafuasi wao waliopoteza uelekeo wa kisiasa na kukosa hoja wamekua na mihemko na hasira kupindukia.?

Yaani kwao hakuna jema kabisa, yote ni mabaya tu. Na wanaona kila kitu kinachofanyika nchini ni kiro kwao. Wamejawa chuki isiyo na sababu na wanamchukia kila mwanachi alie kinyume na maoni au mtazamo wao ulioshindwa na kukataliwa na wananchi kisiasa.

Kama mdau wa JF,unadhani mihemko na chuki hizo zisizo na sabababu za wanasiasa hao mamaluki hususani vijana, zinatokana na ugumu wa maisha wanaopitia na unaosababishwa na uvivu wao katika kufanya kazi au ni hasira za kudhulumiwa walichoaahidiwa na vibaraka wao waliowapa kazi ya kuichafua Tanzania?

Nashauri kuanzishwe clinic ya kutuliza hasira na mihemko nonsense ya kisiasa, hususani kwa viongozi na wafuasi wa vyama vya siasa vilivyopoteza uelekeo kwa mfano chadema masalia n.k. Bila kufanya hivyo naona wafuasi wengi wa vyama vya upinzani wanaelekea kupata changamoto ya afya ya akili.

Mungu Ibariki Tanzania
 
Unadhani ni kwanini viongozi hao wa vyama vya siasa na wafuasi wao waliopoteza uelekeo wa kisiasa na kukosa hoja wamekua na mihemko na hasira kupindukia.?

Yaani kwao hakuna jema kabisa, yote ni mabaya tu. Na wanaona kila kitu kinachofanyika nchini ni kiro kwao. Wamejawa chuki isiyo na sababu na wanamchukia kila mwanachi alie kinyume na maoni au mtazamo wao ulioshindwa na kukataliwa na wananchi kisiasa.

Kama mdau wa JF,unadhani mihemko na chuki hizo zisizo na sabababu za wanasiasa hao mamaluki hususani vijana, zinatokana na ugumu wa maisha wanaopitia na unaosababishwa na uvivu wao katika kufanya kazi au ni hasira za kudhulumiwa walichoaahidiwa na vibaraka wao waliowapa kazi ya kuichafua Tanzania?

Nashauri kuanzishwe clinic ya kutuliza hasira na mihemko nonsense ya kisiasa, hususani kwa viongozi na wafuasi wa vyama vya siasa vilivyopoteza uelekeo kwa mfano chadema masalia n.k. Bila kufanya hivyo naona wafuasi wengi wa vyama vya upinzani wanaelekea kupata changamoto ya afya ya akili.

Mungu Ibariki Tanzania
Hivi japo KKK zimoo?
 
Mtu kama wewe ni mzigo kwenye jamii
 
Unadhani ni kwanini viongozi hao wa vyama vya siasa na wafuasi wao waliopoteza uelekeo wa kisiasa na kukosa hoja wamekua na mihemko na hasira kupindukia.?

Yaani kwao hakuna jema kabisa, yote ni mabaya tu. Na wanaona kila kitu kinachofanyika nchini ni kiro kwao. Wamejawa chuki isiyo na sababu na wanamchukia kila mwanachi alie kinyume na maoni au mtazamo wao ulioshindwa na kukataliwa na wananchi kisiasa.

Kama mdau wa JF,unadhani mihemko na chuki hizo zisizo na sabababu za wanasiasa hao mamaluki hususani vijana, zinatokana na ugumu wa maisha wanaopitia na unaosababishwa na uvivu wao katika kufanya kazi au ni hasira za kudhulumiwa walichoaahidiwa na vibaraka wao waliowapa kazi ya kuichafua Tanzania?

Nashauri kuanzishwe clinic ya kutuliza hasira na mihemko nonsense ya kisiasa, hususani kwa viongozi na wafuasi wa vyama vya siasa vilivyopoteza uelekeo kwa mfano chadema masalia n.k. Bila kufanya hivyo naona wafuasi wengi wa vyama vya upinzani wanaelekea kupata changamoto ya afya ya akili.

Mungu Ibariki Tanzania
Waziri wa mambo ya nje Mr.Kombo kila siku anatembea kwenye hizo nchi za magharibi na kupiga picha na viongozi hao,lengo lake ni nini?
 
Waziri wa mambo ya nje Mr.Kombo kila siku anatembea kwenye hizo nchi za magharibi na kupiga picha na viongozi hao,lengo lake ni nini?
ziara hizo hukupa mihemko na hasira sana gentleman ? :CouldYouNot:
 
Unadhani ni kwanini viongozi hao wa vyama vya siasa na wafuasi wao waliopoteza uelekeo wa kisiasa na kukosa hoja wamekua na mihemko na hasira kupindukia.?

Yaani kwao hakuna jema kabisa, yote ni mabaya tu. Na wanaona kila kitu kinachofanyika nchini ni kiro kwao. Wamejawa chuki isiyo na sababu na wanamchukia kila mwanachi alie kinyume na maoni au mtazamo wao ulioshindwa na kukataliwa na wananchi kisiasa.

Kama mdau wa JF,unadhani mihemko na chuki hizo zisizo na sabababu za wanasiasa hao mamaluki hususani vijana, zinatokana na ugumu wa maisha wanaopitia na unaosababishwa na uvivu wao katika kufanya kazi au ni hasira za kudhulumiwa walichoaahidiwa na vibaraka wao waliowapa kazi ya kuichafua Tanzania?

Nashauri kuanzishwe clinic ya kutuliza hasira na mihemko nonsense ya kisiasa, hususani kwa viongozi na wafuasi wa vyama vya siasa vilivyopoteza uelekeo kwa mfano chadema masalia n.k. Bila kufanya hivyo naona wafuasi wengi wa vyama vya upinzani wanaelekea kupata changamoto ya afya ya akili.

Mungu Ibariki Tanzania
Hivi wee ni mmojawapo wa wabakaji na wafiraji eti eh! Hebu elezea makaburi yapi mliwatupa ndugu zetu!
 
Hivi wee ni mmojawapo wa wabakaji na wafiraji eti eh! Hebu elezea makaburi yapi mliwatupa ndugu zetu!
pole victim,
mazoezi ni miongoni mwa tiba ya mihemko na hasira za mkizi,

pole my friend :CouldYouNot:
 
CHADEMA kwisha habari yao.
CHADEMA wamesambaratika na next election tunawambia tume wafanye fair na mapolisi wetu wa chama wasishike silaha kulinda ushindi bandia
Jeshi pia libakie munduli uone vile tutapiga zaid 200% machadema kwisha wao
 
Back
Top Bottom