Binti wa zamani
Platinum Member
- Nov 19, 2011
- 11,763
- 27,160
- Unapenda kusikia zile sauti za mahaba au mpenzi / mwenza wako akizitoa zinakukera?
- Ushawahi kukutana na miguno au vilio vya ajabu mpaka vikakushangaza? ilikuwaje?
Mimi najitolea kusema kwa niaba ya wanawake, "wanaume tunapenda mkitoa hizo sauti zenu na mkigugumia na vile vibesi" jitahidini msitulombe kama mabubu.
Kwenye simulizi yangu ya mwisho ya “Utamu wa Tunda la kati” nilisahau kuzungumzia hili.
Moja ya vitu ambavyo yule kaka aliwazidi wengine ni kutoa ile sauti nzito ya kiume mambo yakinoga na kunichombeza chombeza. Moto aliokua ananipelekea tayari ulikua unanichanganya, ila ile mihemo na zile miguno ya "mmmh mamaaa" na sifa za hapa na pale vilinimaliza
.
SOMO LA LEO: Sauti, vilio na miguno inanogesha tendo, siyo wanawake tu na nyie wanaume pia toeni, TUNAZIPENDA!
Ni hayo tu, Alamsiki!