and 998 others
JF-Expert Member
- Jun 27, 2012
- 27,921
- 39,103
Mifumo hii kusomana ni jambo zuri na la kuigwa. Unaweza kupata taarifa popote, muda wowote. Tupunguze ujuaji
Mkuu kwa CCM, mifumo hii kusomana ndio jeuri yao kutiki ✅ OktobaYaani mfumo wa NIDA-INEC-CCM isomane halafu muwe salama?
Acha masihara wewe.
Kwa makusudi kbs kaiacha ccm afu anatuambia tuache ujuaji!Unga isha na ccm hapo inasomana
Hiyo ndio mbinu ya CCM, lakini swala la mifumo kusomana ni uongo wa polepole
Mungu anakuona utajibu mbele zake chochote unachoongea au kuandika,maombi ya kuombea haki na amani yameanza kuleta majibu.Walioshiriki kuandaa mifumo Moja wao kaeleza wazi na kuombea msamaha watanzania.Mifumo hii kusomana ni jambo zuri na la kuigwa. Unaweza kupata taarifa popote, muda wowote. Tupunguze ujuaji
Zuri Sana maana ndio wanatekeleza ilaniUna uhakika ni jambo zuri?
Mifumo kusomana ni jambo zuri, tatizo lipo kwenye mfumo upi uusome upi..!! Hebu waza, wewe ungekuwa una uwezo wa kuuosma mfumo wa benki unakotunza hela zako, si ungehamishia hela za watu wengine kwenye akaunti yako..!!???Mungu anakuona utajibu mbele zake chochote unachoongea au kuandika,maombi ya kuombea haki na amani yameanza kuleta majibu.Walioshiriki kuandaa mifumo Moja wao kaeleza wazi na kuombea msamaha watanzania.
Tupunguze ujuaji? Wewe upo Dunia Yako mwenyewe. Haya hiyo mifumo inasomana na CCM. Wewe unaona ni ujuaji watu wakihoji? Daaaa! Umepoteza muda shuleni DadaMifumo hii kusomana ni jambo zuri na la kuigwa. Unaweza kupata taarifa popote, muda wowote. Tupunguze ujuaji
Huna cha kufanya kwa sasa zaidi ya kutukiza hilo komwe lakoTupunguze ujuaji? Wewe upo Dunia Yako mwenyewe. Haya hiyo mifumo inasomana na CCM. Wewe unaona ni ujuaji watu wakihoji? Daaaa! Umepoteza muda shuleni Dada