Mifuko ya Jamii, pesa za waliopotea zaenda wapi?

Mifuko ya Jamii, pesa za waliopotea zaenda wapi?

Chereko

Member
Joined
Jul 20, 2009
Posts
54
Reaction score
16
Hivi huko mifuko ya jamii kama kuna watu waliopotea (kama kifo) na hakuna wafuatiliaji fedha zao wanazifanyia nini? Wahusika watupe ripoti
 
Hivi huko mifuko ya jamii kama kuna watu waliopotea (kama kifo) na hakuna wafuatiliaji fedha zao wanazifanyia nini? Wahusika watupe ripoti

sio za walokufa tu hata za walio hai nazo hazipo toka January eti waliikopesha serikali!. Hivi sheria inasemaje juu ya kukopesha pesa za wadau bila kuwashirikisha? Wanasheria msikwepe kunjibu kwani nanyi nia wahanga wa janga la mifuko ya jamii.
 
mara nyingi nami najiuliza ivi hii mifuko ya kijamii mbona awana kitengo kinachofuatilia wateja wao kama wako hai au wafu, coz kuna watu wengi sana ambao awajui waanzie wapi kufuatila mafao yao au waliacha kufuatilia kwa kupata usumbufu mkubwa apo mwanzo walipojaribu kufanya ivyo, lakini cjawai kusikia awa jamaa wakimtaarfu au kumtafuta mtu ambae. acount yake imesahaulika kwa muda mrefu ili wajue yuko hai au ni mfu
 
Back
Top Bottom