Ili uwe confortable, Kwa sconsi 300 tafuta
1) oven ya deck 3 ya umeme ni 4m na gesi ni 4.5m
2) dough mixer ya 15kg au 20kg ni 2m -3m
3) proofer ni 2.5m
4) makopo/scons cans 100pcs@8,000(aluminum nzr) 800,000
5) meza iwe kubwa napendelea 6×3ft
6)mzani digital scale 150,000
7)kifungio plastic bag sealer ni 50,000
8)mifuko minimum kiwandani ni 50kg @ 7,000 = 350,000
9) maandalizi ya kutengeneza hiyo mifuko kadiria 100,000
10) kweny wiring tumia Fundi mzr na vifaa vya ukweli maana oven ni heater sio mota, inakula umeme vzr na ni hatari kutumia vifaa magumashi
11) sasa mkuu hayo yote chamtoto ngoma ipo kwa TBS na ndugu zake ila kiurahisi pitia sido ndo mambo yako yatanyooka kimtindo.
ANGALIZO: BEI ZA VITU INATEGEMEA UNANUNULIA WAPI, UBORA GANI, UKUBWA GANI, MAKE YA WAPI NA KAMA NI USED AU VIPYA.