Naomba kujua kama kuna taasisi yoyoto ya Serikali inayosimamia (oversight) hizi microfinance kwani Kuna moja naona inatuibia hasa kwa kuwa ina mikataba ya pande moja yaani wakikusainisha mkataba hawakupi muda wa kuusoma na pia copy yako ya mkataba hawakupi, interest kubwa kwa mwezi na ukichelewesha, kurudisha hata kwa siku moja, Wanakupiga penalty na interest juu ya hiyo penalty. Yaanii wanavuna Sana kwenye shida za maskini