Siku hizi makampuni mengi ya simu yanakuwa nazo hizo Micro chip. Nenda kwa kampuni husika ya mtandao wako. Kama hawana chip watakuwa na kile kifaa cha kukatia Sim card. All the best.natafuta sehemu wanayotengeneza micro sim card. na bei gan?
Ndio hizo mkuuNdio zile ndogo kama zinazotumika kwenye iphone?
Ndio hizo mkuu