Michepuko matatizo kwa wanandoa

Ndoa ni bonge la mtihani,Ukiona mtu anaingia kwenye ndoa halafu baadae yanamshinda maana yake mtihani huo kwake umekuwa mgumu,kwa hiyo km wewe mtoa mada mtihani huo umekushinda basi juu kuwa sio wote unaowashinda.
Kwa hyo ndoa ni mtihani..Na wengine hatupendi mitihani sasa sijui itakuwaje. Nilitegemea ndoa iwe ni furaha na sio mtihani au unaonaje mkuu
 
Wengine unakuta waliacha hizo mambo zote lakini walivyoingia tu figisufigisu zikaanza.
 
The only things I can say if you/we are not ready for marriage or don't know the meaning of the marriage then stay single until you get answers of these two things.. Thanks..
 
Kati ya taasisi ambazo bwana shetani anapigana nazo kuhakikisha hazipo salama ni NDOA, so kuelewa hii kitu napo unaweza kuwa na jibu mujarabu, hapo mambo mengine ni extra issues za kuonesha NDOA ina fgsufgsu but lijamaa at works!!
 
Mkuu unanipanipa moyo ila kati ya hizo ndoa 46 najua kuna ambazo haziko sawa ila ndo hivyo kwa sababu walishasaini cheti inabidi wavumiliane. Na ukiangalia watoto na mambo mengine ndo yanawafanya wabaki kwenye ndoa.
 
Unaweza tafuta mtu wa kubanjuana nae permanent ila kuoa huoi. Siku hizi wadada wengi ni movie type unaweza ukaingia ukajuta.
Huyo parment nae ana mchepuko wenye michepuko hapo mnyororo unaendlea.

Halafu inamana nae hatatamani ndoa?
 
Evekyn Salt sasa unataka uniuzie mbuzi kwenye gunia. Nipe hizo majibu ili nijipange mtu wangu.
Wala haina fomula ndugu, muombe tu Mungu Akupe mwenza wa kukufaa, naweza nkakuambia ndoani ni kama vitani kumbe ukapata mke mwema ndoa yako ikawa Paradiso
 
Huyo parment nae ana mchepuko wenye michepuko hapo mnyororo unaendlea.

Halafu inamana nae hatatamani ndoa?
Bora uwe na mtu mwenye mchepuko kuliko kuwa na mke/mume mwenye mchepuko. Akizingua unaachana nae unatafuta mwingine,ukiwa kwenye ndo sasa sijui utamuachaje.
 
Wala haina fomula ndugu, muombe tu Mungu Akupe mwenza wa kukufaa, naweza nkakuambia ndoani ni kama vitani kumbe ukapata mke mwema ndoa yako ikawa Paradiso
Kwa hyo hapo ni kuotea..Ukiotewa imekula kwako. Kazi mbona ipo kumpata mwenza wa paradiso
 
The only things I can say if you/we are not ready for marriage or don't know the meaning of the marriage then stay single until you get answers of these two things.. Thanks..
Sasa utakuta kuna hao wanaolazimisha,mtu hayupo tayari utasikia bby nna mimba yako tuonane tu tutunze kiumbe chetu.
 
kama umechoka kuishi kwa amani....nenda kaoe
 
Bora uwe na mtu mwenye mchepuko kuliko kuwa na mke/mume mwenye mchepuko. Akizingua unaachana nae unatafuta mwingine,ukiwa kwenye ndo sasa sijui utamuachaje.
Na wakati huo magonjwa na umaskini vinakunyemelea
 
U have a point mdau.
 
Ndoaaaaa. Haina formula. Unataka ingia hutaki acha. Husikatishe watu tamaa
Husikatishe=Usikatishe

Nafikiri hajakatisha tamaa amezungumzia hali halisi ya ndoa ya sasa kisha akaomba ushauri kutoka kwa wanandoa.
 
Unaweza tafuta mtu wa kubanjuana nae permanent ila kuoa huoi. Siku hizi wadada wengi ni movie type unaweza ukaingia ukajuta.
Wanaume wengi sana wanafanya hivyo sikuhizi,ni wewe tu ndio umechelewa.

Ndoa za sasa zinakatisha tamaa.
 
Wawili kati ya1000.
 
Kuchepuka huenda si kubaya. Ila tatizo ni huruma watu walokuwa nayo mf. Mtu anaolewa na mtu ambae hampendi kisa eti "tumetoka mbali" mbali my foot!??? Wewe unajua humpendi afu unadanganya roho yako eti " atabadilika ahaaaaaaaaa alishinwa kumbadilisha mama yake wewe utaweza? Sasa ndoa ndo iyooooo tiyari ndani unakutana na pande la mtu, sio choyo macare kibaooo! Loh lazima nionje karanga. Za kununua baadae
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…