GeoMex JF-Expert Member Joined Jan 10, 2014 Posts 5,431 Reaction score 20,042 Jun 7, 2021 #1 Sio michepuko stress😂😂
N Nikilewa mniache JF-Expert Member Joined Aug 8, 2015 Posts 19,294 Reaction score 51,915 Jun 7, 2021 #2 Hapo tu alipodondoka kitandani ndio nimecheka
KIKAZI JF-Expert Member Joined Aug 26, 2014 Posts 1,369 Reaction score 1,516 Jun 7, 2021 #3 Nimeshindwa kushangaa aliposema amekumbuka alipokulia udogoni duuuu!!!!!
GeoMex JF-Expert Member Joined Jan 10, 2014 Posts 5,431 Reaction score 20,042 Jun 7, 2021 Thread starter #4 Kijana wa jana said: Hapo tu alipodondoka kitandani ndio nimecheka Click to expand... Hahahaaa umeona ya kwako?
Kijana wa jana said: Hapo tu alipodondoka kitandani ndio nimecheka Click to expand... Hahahaaa umeona ya kwako?
GeoMex JF-Expert Member Joined Jan 10, 2014 Posts 5,431 Reaction score 20,042 Jun 7, 2021 Thread starter #5 KIKAZI said: nimeshindwa kushangaa aliposema amekumbuka alipokulia udogoni duuuu!!!!! Click to expand... 😂😂😂😂😂part two?
KIKAZI said: nimeshindwa kushangaa aliposema amekumbuka alipokulia udogoni duuuu!!!!! Click to expand... 😂😂😂😂😂part two?
Foxhound JF-Expert Member Joined Dec 15, 2013 Posts 28,735 Reaction score 76,360 Jun 7, 2021 #6 Hiyo ndio michepuko ya kuwa nayo sasa (michepuko lami), sio michepuko kila siku vurugu tu, ukiamka, ukimpigia simu, ukimuuliza hali, ye kila wakati anataka hela tu!!
Hiyo ndio michepuko ya kuwa nayo sasa (michepuko lami), sio michepuko kila siku vurugu tu, ukiamka, ukimpigia simu, ukimuuliza hali, ye kila wakati anataka hela tu!!
B I N A M U JF-Expert Member Joined Apr 7, 2015 Posts 1,495 Reaction score 2,403 Jun 7, 2021 #7 Wakuu mimi na mchepuko wa type hii 😂😂😂 yaaani huyu mimi kabisa
Foxhound JF-Expert Member Joined Dec 15, 2013 Posts 28,735 Reaction score 76,360 Jun 7, 2021 #8 Binamuyako said: Wakuu mimi na mchepuko wa type hii yaaani huyu mimi kabisa Click to expand... Hata mimi ninae wa namna hiyo, nina mpango wa kumchukua na yeye! Awe wa pili, hana shida mdada wa watu!
Binamuyako said: Wakuu mimi na mchepuko wa type hii yaaani huyu mimi kabisa Click to expand... Hata mimi ninae wa namna hiyo, nina mpango wa kumchukua na yeye! Awe wa pili, hana shida mdada wa watu!
B I N A M U JF-Expert Member Joined Apr 7, 2015 Posts 1,495 Reaction score 2,403 Jun 7, 2021 #9 Emiir said: Hata mimi ninae wa namna hiyo, nina mpango wa kumchukua na yeye! Awe wa pili, hana shida mdada wa watu! Click to expand... Hawana shida mkuu 😅
Emiir said: Hata mimi ninae wa namna hiyo, nina mpango wa kumchukua na yeye! Awe wa pili, hana shida mdada wa watu! Click to expand... Hawana shida mkuu 😅
thanos JF-Expert Member Joined Jul 25, 2018 Posts 1,118 Reaction score 1,179 Jun 7, 2021 #10 Emiir said: Hata mimi ninae wa namna hiyo, nina mpango wa kumchukua na yeye! Awe wa pili, hana shida mdada wa watu! Click to expand... Mnawatoa wapi? Maana sisi wengine ata waliopo kwenye njia kuu hawana tabia ya kutusaidia tuki kwama
Emiir said: Hata mimi ninae wa namna hiyo, nina mpango wa kumchukua na yeye! Awe wa pili, hana shida mdada wa watu! Click to expand... Mnawatoa wapi? Maana sisi wengine ata waliopo kwenye njia kuu hawana tabia ya kutusaidia tuki kwama
MIXOLOGIST JF-Expert Member Joined Mar 1, 2016 Posts 14,727 Reaction score 37,030 Jun 7, 2021 #11 Huo mchepuko siyo wa nchi hii
CAGvsSPEAKER JF-Expert Member Joined May 16, 2019 Posts 1,339 Reaction score 5,044 Jun 7, 2021 #12 Mi sijawahi kutana na mwanamke wa hivi aisee.
SAGAI GALGANO JF-Expert Member Joined Nov 13, 2009 Posts 49,968 Reaction score 75,041 Jun 7, 2021 #13 GeoMex said: View attachment 1811169View attachment 1811170 Sio michepuko stress Click to expand... .
GeoMex said: View attachment 1811169View attachment 1811170 Sio michepuko stress Click to expand... .
Foxhound JF-Expert Member Joined Dec 15, 2013 Posts 28,735 Reaction score 76,360 Jun 7, 2021 #14 Binamuyako said: hawana shida mkuu Click to expand... Tena kiuhakika hata nikiwa na shida na Milioni kadhaa, kwake nazipata! Nataka nifanye Mathna, nimchukue. Anafaa sana.
Binamuyako said: hawana shida mkuu Click to expand... Tena kiuhakika hata nikiwa na shida na Milioni kadhaa, kwake nazipata! Nataka nifanye Mathna, nimchukue. Anafaa sana.
Foxhound JF-Expert Member Joined Dec 15, 2013 Posts 28,735 Reaction score 76,360 Jun 7, 2021 #15 thanos said: Mnawatoa wapi? Maana sisi wengine ata waliopo kwenye njia kuu.. hawana tabia ya kutusaidia tuki kwama Click to expand...
thanos said: Mnawatoa wapi? Maana sisi wengine ata waliopo kwenye njia kuu.. hawana tabia ya kutusaidia tuki kwama Click to expand...
F FUSO JF-Expert Member Joined Nov 19, 2010 Posts 36,454 Reaction score 45,029 Jun 7, 2021 #16 Anakukopa laki tano unafurahi, ila kibomu kitakachofuata unapigwa mil 3 ili ukamsimulie na mkeo - dadadeq - nyumba ndogo hainaga urafiki wa kweli.
Anakukopa laki tano unafurahi, ila kibomu kitakachofuata unapigwa mil 3 ili ukamsimulie na mkeo - dadadeq - nyumba ndogo hainaga urafiki wa kweli.
Foxhound JF-Expert Member Joined Dec 15, 2013 Posts 28,735 Reaction score 76,360 Jun 7, 2021 #17 MIXOLOGIST said: Huo mchepuko siyo wa nchi hii Click to expand... Chief amini wapo nchi hii, ngoja niujaribu wa kwangu muda huu kama vipi nitaleta mrejesho hapa hapa!
MIXOLOGIST said: Huo mchepuko siyo wa nchi hii Click to expand... Chief amini wapo nchi hii, ngoja niujaribu wa kwangu muda huu kama vipi nitaleta mrejesho hapa hapa!
CAGvsSPEAKER JF-Expert Member Joined May 16, 2019 Posts 1,339 Reaction score 5,044 Jun 7, 2021 #18 FUSO said: anakukopa laki tano unafurahi, ila kibomu kitakachofuata unapigwa mil 3 ili ukamsimulie na mkeo - dadadeq - nyumba ndogo hainaga urafiki wa kweli. Click to expand... Nyie mko mbali.....mnakopeshana mpaka laki 5? Mimi hiyo ten tu hatokaa aone simu yangu kwake tena!!!
FUSO said: anakukopa laki tano unafurahi, ila kibomu kitakachofuata unapigwa mil 3 ili ukamsimulie na mkeo - dadadeq - nyumba ndogo hainaga urafiki wa kweli. Click to expand... Nyie mko mbali.....mnakopeshana mpaka laki 5? Mimi hiyo ten tu hatokaa aone simu yangu kwake tena!!!
CAGvsSPEAKER JF-Expert Member Joined May 16, 2019 Posts 1,339 Reaction score 5,044 Jun 7, 2021 #19 Emiir said: Chief amini wapo nchi hii, ngoja niujaribu wa kwangu muda huu kama vipi nitaleta mrejesho hapa hapa! Click to expand... na akichomoa useme.
Emiir said: Chief amini wapo nchi hii, ngoja niujaribu wa kwangu muda huu kama vipi nitaleta mrejesho hapa hapa! Click to expand... na akichomoa useme.
Foxhound JF-Expert Member Joined Dec 15, 2013 Posts 28,735 Reaction score 76,360 Jun 7, 2021 #20 CAGvsSPEAKER said: na akichomoa useme. Click to expand... Mambo murua! (Bam bam)