Sifa ya mwanamme sio kurudiwa na michepuko.
Sifa ya mwanamme ni kuwa na familia anayoitunza kwa kila kitu na kuwa na miradi ya kumuingizia hela itakayokimu familia hata akiondoka duniani hawatahangaika kutafuta mahitaji yao.
Sasa bila matusi naomba uji rank mwenyewe kama upo miongoni mwa wanamme. Kuoa hujaoa una baby mama tu ambae ana wenzie 2. SMH.