Miche ya Apple inauzwa

Nyakarungu

JF-Expert Member
Joined
May 1, 2011
Posts
472
Reaction score
377
Wakuu nina kitalu nimesheheni miche ya miAple, nitakuuzia na kukupa somo namna ya kuipanda bei 10,000/- kila mche.
Baada ya miezi 8-10 utaanza kufurahia matunda yake
0754459572
Unaruhusiwa kuja kutembelea kitalu hata kutazama tu, na ukipenda nitakupeleka shambani vigwaza uone miti tenye miezi 8 ilivyotoa maua
Napatikana tegeta kibaoni ukifika hapo gonga namba hizo hapo juu utapokelewa.
 
Weka picha za shambani kwako, au bahadhi ya miche ili tufanye biashara
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…