Bado Niponipo
JF-Expert Member
- Aug 15, 2008
- 680
- 168
Heshima mbele wakuu.
Hii kitu imekaaje, kumekuwa na wimbi la watu wengi ambao wanafariki wakiwa wanaishi ughaibuni na kuomba michango ya mazishi (kurudisha miili ya marehemu nyumbani Tanzania) kwa watu wa nyumbani Tanzania, lakini hatuoni watu wa nyumbani (Tanzania) wakiomba michango ya mazishi kwa watanzania waishio ughaibuni, hii inakuwa oneway traffic. Sometimes waombaji michango hiyo ni watu ambao wamekuwa wakiishi ughaibuni kwa muda mrefu sana, 10 years 15 years etc.
Hii imekaaje.
Hii kitu imekaaje, kumekuwa na wimbi la watu wengi ambao wanafariki wakiwa wanaishi ughaibuni na kuomba michango ya mazishi (kurudisha miili ya marehemu nyumbani Tanzania) kwa watu wa nyumbani Tanzania, lakini hatuoni watu wa nyumbani (Tanzania) wakiomba michango ya mazishi kwa watanzania waishio ughaibuni, hii inakuwa oneway traffic. Sometimes waombaji michango hiyo ni watu ambao wamekuwa wakiishi ughaibuni kwa muda mrefu sana, 10 years 15 years etc.
Hii imekaaje.