Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,504
- 28,692
Michael Martin asena utabiri wake kwa Arsenal haujahusisha usaili wa mtu yeyote.
Mwingereza na mtu pekee aliyeitabiria ubingwa Leicister City msimu wa 2015/16 na Kuitabiria Chelsea 2016/17 na kufanikiwa kwa asilimia 100
Amesema utabiri wake hauja uhuisha usajili bali ameliona wingu la dhahabu Emirates. Michael Martin alijitengenezea jina baada ya Leicister kuibuka mshindi akiwa ni mtu pekee aliyeitabiria timu hiyo alisema
"Mimi ni mnajimu sio mtu wa soka ingawaje napenda soka na utabiri wangu nauelekeza kwenye Soccer"
Ukiniuliza ni mchezaji gani asajiliwe ili utabiri wangu utimie siwezi kujua(akiwa anacheka). "Ila kiunajimu Arsenal ndio mabingwa msimu ujao wingu la dhahabu linang'ara kwao"
Arsenal ipo ktk mzozo na Nyota wao wawili SANCHEZ na OZIL lakini Michael Martin haoni utabiri wake kuvurugwa na ilo. "Mmmh Sijui kama watabaki au wataondoka ilo sijaliangalia. Ila ata km wataondoka kesho au kesho kutwa utabiri utasimama hivi hivi". Arsenal imeshamnasa Alexandrar Lacazette na Wenger amethibitisha kumfukuzia Riyadh Mahrez, Thomas Lemar
Kitu kinachofanya kuonekana kuifanya Arsenal kuwa tishio zaidi eneo la katikati wakuwa uwepo wa Ozil,Xhaka,Coquelin,Ramsey,Carzola na wengineo utafanya Mahrez ku fit kirahisi kwenye mfumo wa 3:2:3:2, au 3-4-3
Tumuachie mtihani huu Mr. Michael Martin, Kama ataendelea kuwa mbabe wa utabiri EPL. Ama atachemsha kwa mara ya kwanza.
YHWH IS GOOD
Mwingereza na mtu pekee aliyeitabiria ubingwa Leicister City msimu wa 2015/16 na Kuitabiria Chelsea 2016/17 na kufanikiwa kwa asilimia 100
Amesema utabiri wake hauja uhuisha usajili bali ameliona wingu la dhahabu Emirates. Michael Martin alijitengenezea jina baada ya Leicister kuibuka mshindi akiwa ni mtu pekee aliyeitabiria timu hiyo alisema
"Mimi ni mnajimu sio mtu wa soka ingawaje napenda soka na utabiri wangu nauelekeza kwenye Soccer"
Ukiniuliza ni mchezaji gani asajiliwe ili utabiri wangu utimie siwezi kujua(akiwa anacheka). "Ila kiunajimu Arsenal ndio mabingwa msimu ujao wingu la dhahabu linang'ara kwao"
Arsenal ipo ktk mzozo na Nyota wao wawili SANCHEZ na OZIL lakini Michael Martin haoni utabiri wake kuvurugwa na ilo. "Mmmh Sijui kama watabaki au wataondoka ilo sijaliangalia. Ila ata km wataondoka kesho au kesho kutwa utabiri utasimama hivi hivi". Arsenal imeshamnasa Alexandrar Lacazette na Wenger amethibitisha kumfukuzia Riyadh Mahrez, Thomas Lemar
Kitu kinachofanya kuonekana kuifanya Arsenal kuwa tishio zaidi eneo la katikati wakuwa uwepo wa Ozil,Xhaka,Coquelin,Ramsey,Carzola na wengineo utafanya Mahrez ku fit kirahisi kwenye mfumo wa 3:2:3:2, au 3-4-3
Tumuachie mtihani huu Mr. Michael Martin, Kama ataendelea kuwa mbabe wa utabiri EPL. Ama atachemsha kwa mara ya kwanza.
YHWH IS GOOD