Miaka 7 bila ndoa

Hayo maandiko yanayosema muishi kwa kuzini tu amekuonesha?
 
Duuh hukutaka hata kujua ameifanyia nini? Kweli mwanaume asipokuwa na hela anakuwa mnyonge sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa huyu usimuweke kwenye hali hiyo sio swala la unyonge, hela zenu huwa zina visiarani sana na masimango tele huwa wanaume tunaoenda kutafuta zetu, asili ya mwanaume ni kukaza hata kama maisha yapo taiti,
 
Hata usimkope tafuta yako man ili ujenge heshima yako, mwanaume pochi mzee baba
 
Pole na changamoto unazo pitia! umasikini ni mbaya sana ,,. naona kuna mazingira flani unaulea, mke wako anapesa ya kuendesha familia, wewe unafanya nini nyumbani ? hiyo ni frusa sepa katafute hela,,. mitume waliuombea mguu uliotoka nyumbani kwenda kutafuta,, usipige vibarua vya kijinga, nenda kalime chochote chenye tija, mbogamboga ndio njia kwako, kalime karibu na miji mikubwa kwa ajiri ya soko, 0Mungu Akutangulie
 
nichangamoto ila there is always a way keep pushing keep grinding usikate tamaa kuhusu harusi na stuff kama izo ni ndogo sana pambana na swala la kipato iam sure things will be okay

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu kwa nafasi yangu uwezekano wa wewe kumuoa huyo mwanamke ni mdogo pengine hakuna kabisa,kwa sasa jipe moyo una mwanamke, lakini jitume kufanya biashara utoboe kumbuka mwanamke akikuzidi mshahara mzidi elimu,akikuzidi elimu mzidi pesa vinginevyo utaendeshwa utake usitake kashapata kazi soon subiri uone outcome atakayokuja nayo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…