Hawa mafisadi hawana haya,huyu JK anaweza akawatamkia Watanzania wazalendo kitu kama hiki,kama anadiriki kumwalika mtoto wa mfalme hapa wakati hali ya Nchi inamshinda ina maana atashindwa kutudanganya. We mwache tu siku itakuja ambao haina jina!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.