0021
Senior Member
- Oct 24, 2012
- 160
- 60
Ndugu wapendwa waJF.
Nilikuwa na msichana niliyeanzisha uhusiano naye tangu 2009-2013.
Kwa mda wote huo alininyima uroda akidai hadi tufunge ndoa mwaka 2015 kwa kuwa bado anajipanga kimaisha ,na masomo alisha maliza 2012.
Nilimvumilia huku nikichepuka kujipoza hapa na pale....lakini ikawa too much.
Mwaka jana nikamwambia 2013 ndo mwisho wangu wa kusubri la sivyo naoa mwingine...alipaniki sana na kusema nimvumilie kidogo.
Mwaka jana gafla akashtukia nimeoa bila kumwambia..Sasa kimbembe kimehamia kwenye famili yao..alimweleza mama yake kila kitu kuhusu mahusiano yetu..
Mama yake sasa ananichukia kupita hali ya kawaida kiasi kwamba ananitishia maisha yangu na mke wangu.
wadau naombeni ushauri wenu mimi ninakosa gani...pia nahofia usalama wa mke wangu na ndo kwanza amejifungua mtoto.....
Nilikuwa na msichana niliyeanzisha uhusiano naye tangu 2009-2013.
Kwa mda wote huo alininyima uroda akidai hadi tufunge ndoa mwaka 2015 kwa kuwa bado anajipanga kimaisha ,na masomo alisha maliza 2012.
Nilimvumilia huku nikichepuka kujipoza hapa na pale....lakini ikawa too much.
Mwaka jana nikamwambia 2013 ndo mwisho wangu wa kusubri la sivyo naoa mwingine...alipaniki sana na kusema nimvumilie kidogo.
Mwaka jana gafla akashtukia nimeoa bila kumwambia..Sasa kimbembe kimehamia kwenye famili yao..alimweleza mama yake kila kitu kuhusu mahusiano yetu..
Mama yake sasa ananichukia kupita hali ya kawaida kiasi kwamba ananitishia maisha yangu na mke wangu.
wadau naombeni ushauri wenu mimi ninakosa gani...pia nahofia usalama wa mke wangu na ndo kwanza amejifungua mtoto.....