Miaka 37 Vs miaka 24...

Subiri mizinga ya inakuja
 
Umeniboa kwenye Mpila sijajua unaongea lugha gani?
 
Unafahamu kama chuo kinafunguliwa na tar 1 ni darasani??, nenda kakomae na kitabu achana na masugar mamy hao, usijepewa goma ikawa hasara kwa wazazi bure.

Halafu jifunze matumizi ya "R" na "L" si "Vizuli ni vizuri" nk.😏
 
Yan wa Tz bwana
yan mtu kuchapia kwnye "l" na "r" Imekua bonge la debate..
 
Wengine hatunaga receptor za HIV.. so tunaingia popote.. Show show
Unafahamu kama chuo kinafunguliwa na tar 1 ni darasani??, nenda kakomae na kitabu achana na masugar mamy hao, usijepewa goma ikawa hasara kwa wazazi bure.

Halafu jifunze matumizi ya "R" na "L" si "Vizuli ni vizuri" nk.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…