Miaka 15 ya utawala kwa Mh. Rais inatosha kufanya akamilishe madhumuni yake kwa taifa letu

digba sowey

JF-Expert Member
Mar 1, 2017
7,896
14,358
Wakuu habari zenu, natumaini mu wazima wa afya

Naomba tuongelee maendeleo na juhudi za muheshimiwa Rais Magufuli katika kuhakikisha taifa letu linakuwa na maendeleo na kulifanya taifa letu kuwa na uchumi imara.

Katika hoja yangu naomba nijikite kwenye miradi mikubwa ambayo inampaisha na kumuweka kileleni mh JPM, baadhi ya miradi hiyo ni kama mradi wa umeme, reli, ununuzi wa ndege na ujenzi wa daraja la Busisi (Sengerema Mwanza), miradi hii yote imeiburiwa katika awamu ya tano. Hofu yangu na watanzania wapenda maendeleo ni kuwa baadhi ya miradi inayofanyika katika awamu hii huenda isimufurahishe Rais wa awamu ya sita na hivyo kuamua kuachana nayo naye kuja na miradi yake.

Hivyo naona kuna haja kubwa ya kubadili ukomo na kuruhusu Rais kuendelea kukaa madaraka kwa angalau miaka 15, hii itamfanya Mh Rais kukamilisha miradi yote mikubwa iliyoanzishwa katika awamu yake ya tank ili kuepuka Rais wa awamu ya sita kuja na mipango mingine na kuweka kando miradi hii iliyopo.

Tofauti na hapo kama hakutakuwa na mabadiliko ya mihula ya urais, naomba mheshimiwa Rais akazane sana ili anapomaliza miaka kumi ahakikishe miradi yote iliyokuwa chini ya utawala wake imekamilika

Ahsanteni
 
JPM hata akipewa miaka 20 hawezi kukamirisha chochote anakurupuka sanaa madhara ya utawala wake itaonekana baada yaye kuondoka, hataki kukosolewa ndomaana unaona amefanikiwa, ebu achie media uone madhaifu yake Ndo utagundua miradi yake kama Atcl intuingizia hasara kubwa kila mwezi hela ambaye ingeenda kwenye sekita ya afya na elimu, ndoutagundua kwamba tatizo la Dar halikuwa fly over (madaraja) ila maji safi na salama, ndo utagundua uwanja wandege wa Chato haukuwa na ulazima kujengwa ni hasara tupu, hizo hela zingeenda kwenye kilimo au watumishi wa umma nk.
 
You better go and sleep this morning. Whatever it can be, hii miradi sio ya familia ya rais, ni miradi ya taifa zima. Rais ajaye atasusia mradi wowote kama hauna tija. Miradi aliyoanzisha Magufuli ni miradi kabambe, hata mwehu anaisifia, hakuna wa kupuuza miradi hiyo. Rais wetu bado ana muda mzuri. Kipindi chake phase 2 atakamilisha tu hiyo miradi

Wananchi tusianze ku attract hali hii ya marais kukaa madarakani kinyume na ilivo sasa. Museven karibia anamaliza miaka 37 madarakan, Kagame zaidi ya miaka 20, Mugabe amekaa madarakani more than 38 years madarakani, Just think, ina maana hawapo watu wenye kariba yao nchini?
 
Daaaahh kweli leo nimeamini kwenye nadharia ya utofauti wa mtu na mtu (individual difference theory )
 
Kuna msemo unaosema "Ficha upumbavu wako, onesha werevu wako"
 
Unaweza kuwa sahihi. Lakini lazima kujiuliza maswali magumu.

1.Je, hiyo ni miradi pekee tunayohitaji kwa maendeleo? Muda ukifika hata baada ya miaka 20, si tutaongeza tena mihula?

2. Mhusika akitugomea kwasababu nzuri tu, ndio basi, hakuna tena maendeleo?

Kama nchi, ni vema tukawa na mifumo thabiti itakayo mlazimisha hata mwalimu mkuu kuhakikisha viwango vinazingatiwa.

Habari ya kusema hadi Mungu atujaalie kupata mwalimu mkuu bora ndio watoto wetu wafaulu siyo sawa. Hata Mungu mwenyewe atatushangaa.

Cha kumuomba Mungu hapo ni kujaaliwa kuweka mifumo bora itakayo wezesha wananchi wenyewe kuamua maisha wanayo yataka.
 
Kwa nini asimtawale mama yako na baba yako kwanza kwa muda huo,wakishavimbiwa wazazi wako wote ndio awatawale watanz
Wakuu habari zenu, natumaini mu wazima wa afya

Naomba tuongelee maendeleo na juhudi za muheshimiwa Rais Magufuli katika kuhakikisha taifa letu linakuwa na maendeleo na kulifanya taifa letu kuwa na uchumi imara.

Katika hoja yangu naomba nijikite kwenye miradi mikubwa ambayo inampaisha na kumuweka kileleni mh JPM, baadhi ya miradi hiyo ni kama mradi wa umeme, reli, ununuzi wa ndege na ujenzi wa daraja la Busisi (Sengerema Mwanza), miradi hii yote imeiburiwa katika awamu ya tano. Hofu yangu na watanzania wapenda maendeleo ni kuwa baadhi ya miradi inayofanyika katika awamu hii huenda isimufurahishe Rais wa awamu ya sita na hivyo kuamua kuachana nayo naye kuja na miradi yake.

Hivyo naona kuna haja kubwa ya kubadili ukomo na kuruhusu Rais kuendelea kukaa madaraka kwa angalau miaka 15, hii itamfanya Mh Rais kukamilisha miradi yote mikubwa iliyoanzishwa katika awamu yake ya tank ili kuepuka Rais wa awamu ya sita kuja na mipango mingine na kuweka kando miradi hii iliyopo.

Tofauti na hapo kama hakutakuwa na mabadiliko ya mihula ya urais, naomba mheshimiwa Rais akazane sana ili anapomaliza miaka kumi ahakikishe miradi yote iliyokuwa chini ya utawala wake imekamilika

Ahsanteni
 
JPM hata hakipewa miaka 20 hawezi kukamirisha chochote anakurupuka sanaa madhara ya utawala wake utaonekana baada yaye kuondoka hataki kukosolewa ndomaana unaona amefanikiwa ebu achie media uone madhaifu yake

Kwa nini yaonekane baada ya yeye kuondoka. Tuonyeshe kwa sasa ili twende sawa. Umetajiwa mazuri hapo juu wewe umekuja na majibu ya jumla. Ukimchukia mtu usichukie kazi anazozifanya Mkuu. Wazee wetu wa kale walikuwa na lugha ya kumkubali usiyempenda. Baniani mbaya kiatu chake dawa.
 
Aisee hii nchi ina mapimbi sijapata ona ,vitu anavyofanya Magufuri havina impact yoyote kwa watanzania Kama hali za maisha yao ya kila siku zitaendeles hivi ,katika Lindi la umasikini uliotopea ulioletwa na Magufuri mwenyewe ,yaani watu hawana tena uwezo wa kununua purchasing power ,sababu ya mzunguko mdogo wa pesa aliousababisha .watu hawana hata uwezo wa kula mlo mmoja wewe unazungumzia miradi ,nakuuliza Magufuri anaongoza watu au miradi?
 
15 years are enough for JPM Mr
You better go and sleep this morning. Whatever it can be, hii miradi sio ya familia ya rais, ni miradi ya taifa zima. Rais ajaye atasusia mradi wowote kama hauna tija. Miradi aliyoanzisha Magufuli ni miradi kabambe, hata mwehu anaisifia, hakuna wa kupuuza miradi hiyo. Rais wetu bado ana muda mzuri. Kipindi chake phase 2 atakamilisha tu hiyo miradi

Wananchi tusianze ku attract hali hii ya marais kukaa madarakani kinyume na ilivo sasa. Museven karibia anamaliza miaka 37 madarakan, Kagame zaidi ya miaka 20, Mugabe amekaa madarakani more than 38 years madarakani, Just think, ina maana hawapo watu wenye kariba yao nchini?
 
Binadamu bwana,tunasubiri hadi mtu asiwepo ndo tuone umuhimu wake,binafisi JPM anapika sana kazi, viva JPM
Hivi wewe upo Tanzania au? Yaani unasema hawezi kukamilisha chochote wakati mpaka sasa hivi ameshatekeleza almost 75% ya ahadi zake! Kwenye sekta za Afya, Elimu na Miundombinu!! May be you are not in TZ!
 
Wakuu habari zenu, natumaini mu wazima wa afya

Naomba tuongelee maendeleo na juhudi za muheshimiwa Rais Magufuli katika kuhakikisha taifa letu linakuwa na maendeleo na kulifanya taifa letu kuwa na uchumi imara.

Katika hoja yangu naomba nijikite kwenye miradi mikubwa ambayo inampaisha na kumuweka kileleni mh JPM, baadhi ya miradi hiyo ni kama mradi wa umeme, reli, ununuzi wa ndege na ujenzi wa daraja la Busisi (Sengerema Mwanza), miradi hii yote imeiburiwa katika awamu ya tano. Hofu yangu na watanzania wapenda maendeleo ni kuwa baadhi ya miradi inayofanyika katika awamu hii huenda isimufurahishe Rais wa awamu ya sita na hivyo kuamua kuachana nayo naye kuja na miradi yake.

Hivyo naona kuna haja kubwa ya kubadili ukomo na kuruhusu Rais kuendelea kukaa madaraka kwa angalau miaka 15, hii itamfanya Mh Rais kukamilisha miradi yote mikubwa iliyoanzishwa katika awamu yake ya tank ili kuepuka Rais wa awamu ya sita kuja na mipango mingine na kuweka kando miradi hii iliyopo.

Tofauti na hapo kama hakutakuwa na mabadiliko ya mihula ya urais, naomba mheshimiwa Rais akazane sana ili anapomaliza miaka kumi ahakikishe miradi yote iliyokuwa chini ya utawala wake imekamilika

Ahsanteni
Haya ndio matatizo ya kusoma vijarida vya Musiba
 
Usipotaka kufanya kazi hata aje rais wa kugawa magunia ya pesa bado utalalamika tu
Aisee hii nchi ina mapimbi sijapata ona ,vitu anavyofanya Magufuri havina impact yoyote kwa watanzania Kama hali za maisha yao ya kila siku zitaendeles hivi ,katika Lindi la umasikini uliotopea ulioletwa na Magufuri mwenyewe ,yaani watu hawana tena uwezo wa kununua purchasing power ,sababu ya mzunguko mdogo wa pesa aliousababisha .watu hawana hata uwezo wa kula mlo mmoja wewe unazungumzia miradi ,nakuuliza Magufuri anaongoza watu au miradi?
 
Back
Top Bottom