Sijaelewa unaposema filamu za watu wazima unakusudia nini? Nikaenda mbali na kujiuliza hizi nazoangalia ni za nusu watu? Tafadhali kama hakuna hata kipande cha hizo filamu bado utatunyima haki ya sisi tusiofaham au kuzishuhudia filamu za watu wazima!?