Mafiastar stationery iliyopo Magomeni Mapipa Dar es salaam inatangaza nafasi 1 ya kazi za secretariet kwenye stationery hiyo.
Sifa za muombaji:
1.ELimu awe amehitimu kidato cha nne.
2. Awe Ana certificate ya secretariet/computer
3.Awe na speed kiasi au kubwa ya kutyping
4.Awe anaishi maeneo karibu na Magomeni
5.Awe muadilifu na mchapa kazi
6.Awe jinsia ya kike.
Mwisho wa kupokea maombi ni Tarehe 20/12/2015.
Tunakaribisha maombi yatumwe kwenye email: bwashehealli@yahoo.com
Ukiambatanisha CV.
Mshahara ni mapatano kati ya muajili na mfanyakazi.
Sifa za muombaji:
1.ELimu awe amehitimu kidato cha nne.
2. Awe Ana certificate ya secretariet/computer
3.Awe na speed kiasi au kubwa ya kutyping
4.Awe anaishi maeneo karibu na Magomeni
5.Awe muadilifu na mchapa kazi
6.Awe jinsia ya kike.
Mwisho wa kupokea maombi ni Tarehe 20/12/2015.
Tunakaribisha maombi yatumwe kwenye email: bwashehealli@yahoo.com
Ukiambatanisha CV.
Mshahara ni mapatano kati ya muajili na mfanyakazi.