Mhudumu wa Hotel anahitajika

Mhudumu wa Hotel anahitajika

lawyer2

JF-Expert Member
Joined
Dec 31, 2015
Posts
224
Reaction score
67
Salam..nahitaji mhudumu wa hotel sio lazma awe amesomea hotel management au hotelier lakini awe na uzoefu wa kazi kwa:

1. Kuserve wateja chakula na vinywaji
2. Kufanya House keeping
3. Usafi wa jumla
4. Akiwa na uzoefu wa kupika ni bora pia

Hotel ipo Morogoro Mjini na sehemu ya kulala kwa atakaekuwa nje ya mkoa ipo.

Interested awasiliiane kwa msg namba 0686 666666
 
Salam..nahitaji mhudumu wa hotel sio lazma awe amesomea hotel management au hotelier lakini awe na uzoefu wa kazi kwa:

1. Kuserve wateja chakula na vinywaji
2. Kufanya House keeping
3. Usafi wa jumla
4. Akiwa na uzoefu wa kupika ni bora pia

Hotel ipo Morogoro Mjini na sehemu ya kulala kwa atakaekuwa nje ya mkoa ipo.

Interested awasiliiane kwa msg namba 0686 666666
Nilimpa mtu hili tangazo cha ajabu aliyewasiliana nae kwenye hiyo namba kasema hana habari na kazi hiyo iliyotangazwa.
 
Huyo mtu anajibu vzr na anaelekeza vzr lkn hapo anapoelekeza hawana kazi, wanashangaa nani kasema pale kuna kazi.
Huyu ni mbabaishaji sana. Aliwahi pia kuweka tangazo la mtu wa kusimamia/kuangalia mifugo yake nadhani kuku wa mayai,nk. Huko huko Morogoro. Ila ukipiga simu anaikata hapokei. Ukirudia sana anapokea unajieleza, anakuhoji hoji halafu hakwambia hakutaki ama laa, hata hili la hotel pia hivo hivo. Ni kama anatangaza nafasi za kazi ambazo either hazipo,au kama zipo basi yeye sio mhusika mkuu. Sasa sijui ni kwa faida ya nani anafanya haya!
 
Huyu ni mbabaishaji sana. Aliwahi pia kuweka tangazo la mtu wa kusimamia/kuangalia mifugo yake nadhani kuku wa mayai,nk. Huko huko Morogoro. Ila ukipiga simu anaikata hapokei. Ukirudia sana anapokea unajieleza, anakuhoji hoji halafu hakwambia hakutaki ama laa, hata hili la hotel pia hivo hivo. Ni kama anatangaza nafasi za kazi ambazo either hazipo,au kama zipo basi yeye sio mhusika mkuu. Sasa sijui ni kwa faida ya nani anafanya haya!
Asante kwa kutujuza
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom