Mhitimu wa UCC City Centre branch.

Mhitimu wa UCC City Centre branch.

mhaya.com

Member
Joined
Jan 16, 2014
Posts
16
Reaction score
4
Habari...

Mim ni mhitimu wa ngazi ya cheti kitengo cha Computing and Information Technology mwaka 2014 july. Ninapenda kuchukua nafas hii kuomba msaada kwako ww msomaji wa ujumbe huu, mm ni kijana wa kiume umri wa miaka 23 ni mzaliwa wa MISSENYI-KAGERA. Nipo Dar tangia mwaka 2011 baada ya kumaliza kidato cha nne mwaka 2010. Maisha yangu ya hapa mjini yamekuwa ya misukosuko ya kila aina (matus, kejeli manyanyaso) lkn cha kumshukuru Mungu nimepata angalau elimu kidogo CERTIFICATE in COMPUTING AND INFORMATION TECHNOLOGY ni kiwa na SECOND CLASS ya 3.4GPA.

Ndugu zangu naomba msaada wenu wa kuweza kunipatia kiajira (kazi) niweze kuondokana na kufanywa house girl, maisha ninayokaa ushemejin n shida na tabu kbsa. Ndoto ya kuendelea na diploma imeisha kwan naona hamna kulingana na maisha ninayoishi ss.

NI MENGI SANA YANAYONISIBU, NAOMBA MSAADA WENU
0752 015710.
 
Habari...

Mim ni mhitimu wa ngazi ya cheti kitengo cha Computing and Information Technology mwaka 2014 july. Ninapenda kuchukua nafas hii kuomba msaada kwako ww msomaji wa ujumbe huu, mm ni kijana wa kiume umri wa miaka 23 ni mzaliwa wa MISSENYI-KAGERA. Nipo Dar tangia mwaka 2011 baada ya kumaliza kidato cha nne mwaka 2010. Maisha yangu ya hapa mjini yamekuwa ya misukosuko ya kila aina (matus, kejeli manyanyaso) lkn cha kumshukuru Mungu nimepata angalau elimu kidogo CERTIFICATE in COMPUTING AND INFORMATION TECHNOLOGY ni kiwa na SECOND CLASS ya 3.4GPA.

Ndugu zangu naomba msaada wenu wa kuweza kunipatia kiajira (kazi) niweze kuondokana na kufanywa house girl, maisha ninayokaa ushemejin n shida na tabu kbsa. Ndoto ya kuendelea na diploma imeisha kwan naona hamna kulingana na maisha ninayoishi ss.

NI MENGI SANA YANAYONISIBU, NAOMBA MSAADA WENU
0752 015710.

Unafahamu nini katika ulimwengu wa ICT? Umebobea katika maeneo gani? Unaweza kuishi mikoani, nje ya dsm?
 
Kweli mapito, kuwa na moyo ndg yangu utafanikiwa tu!. Hiyo njia unayopita ndiyo hata mm nmeipitia, nili take risk ya hali ya juu sana tena sio ile wanayoisema calculated risk lakini leo nmetulia japo life halijatulia sana. Mungu akusaidie sana upate mtu akuonyeshe njia, ila usiwe muoga ktk maisha!
 
Unafahamu nini katika ulimwengu wa ICT? Umebobea katika maeneo gani? Unaweza kuishi mikoani, nje ya dsm?
Ninaweza, nimebobea

  • Network configuration & Troubleshooting
  • LAN Implementation & Configuration
  • PC repair, upgrade and Maintenance
  • Portables repair, upgrade and Maintenance
  • Operating system Management
  • Microsoft office application
 
Back
Top Bottom