hawa wadada mbona wanajinafasi wenyewe jamani na huku vidume tunahaha kuwatafuta bila mafanikio jamani week end hiii mtatuua na UKWARE.
mnavaa vinguo vyakututamanisha tukitamanika mnatuacha na majanga mwee
Pamoja na ripoti yenu ya UN juu y kuambukizwa virusi vijana 50 kwa Kila dakika 60 bado mnashabikia alafu mnaoshabikia haya kwenye ule uzi wa Ukimwi sikuwaona hata mmoja ...mlivikimbia vivuli vyenu siyo? tutawazika tu.
Pamoja na ripoti yenu ya UN juu y kuambukizwa virusi vijana 50 kwa Kila dakika 60 bado mnashabikia alafu mnaoshabikia haya kwenye ule uzi wa Ukimwi sikuwaona hata mmoja ...mlivikimbia vivuli vyenu siyo? tutawazika tu.
Pamoja na ripoti yenu ya UN juu y kuambukizwa virusi vijana 50 kwa Kila dakika 60 bado mnashabikia alafu mnaoshabikia haya kwenye ule uzi wa Ukimwi sikuwaona hata mmoja ...mlivikimbia vivuli vyenu siyo? tutawazika tu.