Mheshimiwa Rais Tumbua hii LATRA.

Mheshimiwa Rais Tumbua hii LATRA.

kupe

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2012
Posts
1,036
Reaction score
330
Abiria wamejazana ubungo. Magari binafsi yapo tayari ubungo kupata vibali vya muda kama. Miaka yote ila wao LATRA wanasema hawana vidhibiti mwendo. Kifupi hawa watu hawakujipanga wakati inajulikana miaka yote issue ya December na shida ya usafiri. Lakini wao wako na magari yao binafsi kukamata daladala wapate rushwa za laki laki. Wakiombwa vibali vya muda hawatoi. Ukiwa uliza sababu hawakupi.
 
Abiria wamejazana ubungo. Magari binafsi yapo tayari ubungo kupata vibali vya muda kama. Miaka yote ila wao LATRA wanasema hawana vidhibiti mwendo. Kifupi hawa watu hawakujipanga wakati inajulikana miaka yote issue ya December na shida ya usafiri. Lakini wao wako na magari yao binafsi kukamata daladala wapate rushwa za laki laki. Wakiombwa vibali vya muda hawatoi. Ukiwa uliza sababu hawakupi.
Sio hao tu hata wilaya ya ubungo kuna shida,wanakusanya hela ya taka alafu taka hazisombwi gari linachukua mda mrefu kusomba taka zinanuka
Pia wanachangisha wananchi pesa hawatoi risiti ya EFD machine(mashine ya TRA)Pesa inayochangwa nahisi kuna upigaji.Pia wanadai kuwa hata kama umesafiri muda wa miezi sita ukirudi lazima utoe miezi ile ambayo hukuwepo haijarishi hukuwepo lazima utoe,hii haijakaa sawa,hali hii ipo hasa Kibamba kuna shida .Mheshimiwa angejua hili afanye utumbuaji maana hili ni jipu kali sana.
 
Nimeona pia kwenye taarifa ya habari, kuna shida pahala.
 
Back
Top Bottom