Namkubali msigwa,anadai kinana atamtambua mahakamani,ameweka mawakili 8 wa Chadema,Big up Kamanda.Tembo wetu na twiga sasa watapona.Viva Chadema viva kamanda.
Kwel uwezo unatofautiana last week katika hiki kipindi alihojiwa Tundu lissu..yaan wakati namsikiliza tundu lissu kwa jinsi alivopangalia maneno na jinsi alivokua anajibu nilikua naona kama mda ni mdogo na hautoshi yani alikua anatoa jiwe anaweka nondo..sasa uyu msigwa leo sioni hata cha maana anachoongea ndo kwanza sa 11 na dk 28 naona hata mda hauendi anaongea pumba tuu kazi kuleta vingereza tuu ambavyo hata havisaidii..kwel tundu ni jembe
Kwel uwezo unatofautiana last week katika hiki kipindi alihojiwa Tundu lissu..yaan wakati namsikiliza tundu lissu kwa jinsi alivopangalia maneno na jinsi alivokua anajibu nilikua naona kama mda ni mdogo na hautoshi yani alikua anatoa jiwe anaweka nondo..sasa uyu msigwa leo sioni hata cha maana anachoongea ndo kwanza sa 11 na dk 28 naona hata mda hauendi anaongea pumba tuu kazi kuleta vingereza tuu ambavyo hata havisaidii..kwel tundu ni jembe
wewe ni ------,kwani kuongea kiingereza ni kosa?acha ugamba ww,dogo anashuka mistari si mchezo.jinyonge basi..vituo ni vingi vya kusikiliza,hama kituo.
Ni mbumbu wachache sana wa CCM Lumumba ambao bado wanakomalia hiyo, hata Mwigulu anaelekea kuacha kuropoka huo ujinga wa Ki-CCM. Kisa? Kuna watu wamemnanga humu JF na kuhoji kwanini alikwenda kuchumbia Machame?
wewe ni ------,kwani kuongea kiingereza ni kosa?acha ugamba ww,dogo anashuka mistari si mchezo.jinyonge basi..vituo ni vingi vya kusikiliza,hama kituo.
anashuka mistari kwako..jamaa anaongea flat tuu yan ahamasishi mtu kuendelea kumsikiliza inshort hana jipya uwez compare kabisa na tundu lissu alivoongea last week sema ndo ivo uwezo watu wanatofautiana...sina chama mkuu me nasikiliza kitu anachoongea mtu sifuati upepo kibwegebwege tuu