MHE VINCENT NYERERE V/s KINANA

MHE VINCENT NYERERE V/s KINANA

Lai Otieno

JF-Expert Member
Joined
Aug 13, 2013
Posts
311
Reaction score
90
Nani zaidi kati ya Mhe Vincent J Nyerere (Mb)wa Musoma mjini na katibu wa Ccm Kinana siku ya jumatano viwanja viwili tofauti Mhe Nyerere atakuwa Mara sec na Kinana atakuwa shule ya msingi Mkendo more updates to come!
 
kuna mafuso huko ya kusomba watu? shule za msingi na sec pia kujazilizia umati - Bodadoba full tanki na buku kumi kuhamasisha.
 
Primary Versus Secondary school, utaona mwenyewe nani zaidi, musoma suala la mafuta, khanga na buku halipo, watu wameelemika miaka mingi mno, utashuhudia kinana akiitwa akanana.
 
unauliza nani zaidi kwa maana ipi walikuwa wanapambano au kunanini tarifa yako iko kitoto sana.
 
Kwa mara boyz ninavyo wajua wanapenda chadema maana nam mwaka jana nikuwa mwanafuz lazma pajae hai Wote malale wa ujamaa
 
viongozi wa chadema wameitwa kituoni kuombwa kuzuia mkutano
 
Nani zaidi kati ya Mhe Vincent J Nyerere (Mb)wa Musoma mjini na katibu wa Ccm Kinana siku ya jumatano viwanja viwili tofauti Mhe Nyerere atakuwa Mara sec na Kinana atakuwa shule ya msingi Mkendo more updates to come!
Tunangoja update.
 
Back
Top Bottom