Lai Otieno
JF-Expert Member
- Aug 13, 2013
- 311
- 90
Waziri kivuli wa mambo ya ndani na Mbunge wa Musoma Mjini,ndani ya Dk 45 Itv Siku ya Juma 3 baada ya Taarifa ya habari ya saa 2 usiku, Stay Tuned kwa mustakabali wa serikali mbadala kwa manufaa ya Umma kwa walio huru na wafungwa bila kusahau wakimbizi na askari.