Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,740
- 218,329
bingo ya ubunge ndiyo nini ? Ni bora ufafanue mkuu kwa manufaa ya vizazi vya baadaye .
badala ya kujadili hoja yake watu wanajadili CV yake, hivi angekuwa na CV kama unayotaka ingeongeza nini au kupunguza nini katika hoja yake?
kula kulala mna taabu kweli kweli.... hujui cku iz siasa za dunia zinafanywa kwa blocks?..... we unamtegemea mchina? hatujifunzi chochote kwa mchina achilia mbali bodaboda zinazoua wadogo zetu na dada zetu kila uchao...... mchina anachangia bajeti ya maomba omba wa CCM kwa asilimia ngapi? mkikuwa mkaanza kujinunulia nguo wenyewe...mtaacha..msimtishe masele nyie wala makombo ya waingereza. tumeona wajerumani wakitoswa na mzanaki. kwa nn wa tz wanageuka ghafla kuwa toothless dogs wagging their tail before uk's ambassador! masele anatosha kuwa amiri jeshi wetu. hata mjipendekeze kwa wingereza roho yao iko kenya. tuna marafiki wa jadi tukiwa huru kuliko uk
hivi hawa mawaziri wanaokotwa wapi??
Duh! Jamaa cv nyepesi mno wala hailingani na post aliyonayo ya unaibu waziri.