Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,242
- 34,903
Mhe. Edward Lowassa Kesho anatarajiwa Kuwa Mgeni rasmi kwenye Maafali ya Chaso Karimjii Hall pia Atazungumza na Watanzania wote.
Katafute kamusi angalia neno kustafuNi waziri mkuu aliyejiuzulu ( rekodi ikae sawa)
Kujiuzulu na kustaafu ni maneno ya kiswahili yenye mintarafu kinzaniKatafute kamusi angalia neno kustafu
Ni waziri mkuu aliyejiuzuru kutokana na kuhusika kwenye kashifa ya Richmond iliyohusisha wizi wa mabilioni ya pesa.Ni waziri mkuu aliyejiuzulu ( rekodi ikae sawa)
Pia ni waziri mkuu ambaye licha kwamba mnamtaja sana kwa ufisadi lakini bado tingatinga lenu limekwama kumtumbua na kamwe haliwezi maana linajua kwamba uongo ni mwepesi kushinda ukweli kwani hakuna mwizi wa kugombea urais nchi hii akapigiwa kura 6,000,000+Ni waziri mkuu aliyejiuzuru kutokana na kuhusika kwenye kashifa ya Richmond iliyohusisha wizi wa mabilioni ya pesa.
Hukumsikia anasema CCM isipotoka 2015 haitatoka daima milele?2020 hiyooooo, ikulu Baba
Kumbuka alimaliza kampeni bila kwenda hata Hospitali naweka kumbukumbu sawaMhhh! Atagawa vyeti kwa wahitimu wote. Kweli ataweza kusimama mda wote au siyo wengi?