Mhe. Lema, Mhe. Msigwa na Mhe. Sugu kuendelea kukoleza moto wa Mabadiliko Morogoro

Msigwa namuonea huruma,wakati lema na sugu wakianza kupuliza bange kabla ya kupanda jukwaani yeye sijui anakuwa wapi

Yaani hiyo ni sawa na kusema Nape unamuonea huruma ziara ya Arusha wakati Kinana akianza kusaka meno ya tembo kwanza, yeye Nape sijui anakuwa wapi?
 
CHADEMA Bado sana kwa Morogoro mkajipange sana

Morogoro tatizo sio chadema wala ccm. Mkoa huu ukiondoa wilaya ya kilombero ambayo angalau ina madiwani wa upinzani, watu wake hawajaamuka kabisa. Ndiyo maana kuna wabunge wengi magabachori. Ni mkoa wenye watu ambao hawajipendi, na hawapendani, wako radhi watawaliwe na wageni lakini mwenyeji. Shabiby, Abood, na yule wa mikumi jina nimelisahau wote hawa hakuna mwenye uwezo wa kujenga hoja zaidi ya kuwadanganya wapiga kura kwa misaada midogo.
 
Hivi Lema naye ni muheshimiwa? Muheshimiwa gani muhuni kiasi hicho? Arusha mjini hatumtaki tena, tunataka kuongozwa na mwenyeji...! Iwe anatoka CDM au CCM but tunataka mwenyeji mwaka huu! :mad::mad::mad:
haa haa una utani na zitto wewe! Mwenzako anajipanga kugombea dar!
 
Back
Top Bottom